chapa iseme
Member
- May 31, 2025
- 70
- 105
Pumbavu zako, binamu ni ndugu yako wa damu maana ni mtoto wa shangazo yako. You are blood related, near blood related!Habari wana jamiiForums...
Imekuwa miez mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa ,, naish nae jiran na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaan mke wa mjomba
asante kwa ushauriAchana na mtoto wa kaka ya shangazi yaan mke wa mjombo!
Habari ikifika kwa ndugu watakudharau
Jf iwe inawafungia wajinga kama nyie. Hamna hadhi kabisa ya kuwa humuHabari wana jamiiForums...
Imekuwa miez mingi toka nijisikie hali ya tamaa juu ya binamu yangu,, ananiita kaka yeye ni mdogo kiumri ila tayari ana mtoto na hajaolewa ,, naish nae jiran na kwangu ndiko amepanga.
Sasa juzi nimejikuta namtongoza nae kakubali ila jana nimefikiria nikaona kama nimefanya kosa..
Nae sasa ndio kawaka moto kila muda anatuma sms za mahaba juu yangu.. Je, ni mle au nimpotezee iwe tu kama niliteleza?
Ushauri tafadhali ni mtoto wa kaka ya shangazi yaan mke wa mjomba
unanichanganya sasakwa sisi waarabu huyu tunamla na kuoa kabisa...
shindwaCCM mitano tena
Kwani we ni mwarabu wa wapi?unanichanganya sasa
Nilikuwa namaanisha kwa mentality hiyo tutapata tabu sana kuing'oa CCM madarakanishindwa
wa kageraKwani we ni mwarabu wa wapi?
AseeCCM mitano tena