Bora umeniwarn maana nilikuwa nakuja kuharibu blaza😅😅Dada naomba usitie neno..😂
Yeye ni mzuri tu anashepu wenyewe wanaita utamu kunoga! Guu nikisema la bia nitakuwa simtendei haki, mtoto anaguu la whisky.
Shingo ndo tusiseme wanaita shingo la mnazi! Kwenye chuchu naomba nisiseme nitanogesha Mambo. Kiuno dondola si dondola nyigu si nyigu labda tu niseme Kama kilamba mwiko. Tuachane na hayo niende kwenye mada.
Weekend iliyoisha huyu kiumbe alinifata akanikuta nimeketi zangu nakunywa juisi kola yangu baridi nawaza nitabidisha vipi hicho kinywaji kiwe balimi! Alivyokuja tukasalimiana baada ya maongezi mawili matatu akatulia tuli then akaanza kuniuliza unakunywa nini?
Nikamwambia ni fanta akabisha. Mara akaomba nikamkatalia yeye alikuwa akisema anasikia harufu ya juisi kola!.. Anyway tuachane na hilo nililimaliza kiinjinia na alielewa si juisi kola japo alikubali kishingo upande.
Shida iliyokuwa imemleta alikuwa amekuja kuniambia kuwa ananipenda! Wala sikushangaa kwani hakuanza siku hiyo alianzaga na barua ila sikumjibu! So anachodai yeye ni kuwa anaona sitaki kumkubali kwakuwa nafikiri kuwa ati atakuwa akiniomba hela! Hili si tatizo bali tatizo kaniambia ati nisijali yeye hataniomba hata mia yangu atajitegemea. Sasa najiuliza huyu bibie anataka kuniweka kwenye mtego au?
Ushauri wenu wakuu isijekuwa ndo naenda kutolewa meno hivi hivi.[/QUOTE (kimbia)
Tayari nipo kwa mangi hapa, nmechukua juice cola ya unga tsh 200, ntaenda kuchanganya na maji home.Huu ndo ushauri Sasa mkuu popote ulipo kunywa juisi kola ntakuja kulipa..![]()
Hivi umeelewa nilichokisema au ume ni quote tyuuuh? Kuhusu suala la kumkubal au kumkataa huyo muhusika halihusiki hapa.Wewe unaweza kumkubali demu kama huyo ?
Safi sana angalia tu usije ukajikojolea kitandani mkojo wake unavyonukia ni kama unakuchamba..![]()





wee mie sikojoi kitandanUsinchekeshe mie nmekumbuka mdogo angu kakojoa had yupo std 6,Ntakufundisha usihofu hizo kazi wengine tulianza toka zamani Sana tumekubuhu.. najua hadi kukojoa mkojo ukahamia kwa jirani Kama umelalanae itaonekana ye ndo kajikojolea ipo namna ya kufanya..




Wee thubutuuuh yaan unajua mzee alikua anampa mbata ila wapi, had alivopelekwa kwa bibi ndo akapona, alipewa dawa ya kienyeji.Kumbe umekaa nanguli kabisa halafu unajifanya hujui hizo shughuli.. mbona hicho ni kipaji mngemuendeleza..![]()
Kaamua tu kuwastahi hakuna Cha dawa wala Nini..Wee thubutuuuh yaan unajua mzee alikua anampa mbata ila wapi, had alivopelekwa kwa bibi ndo akapona, alipewa dawa ya kienyeji.
Wala hata sio mie, maan mie nilifuatwa na twins, ndo akaja yeye, na sikuwah hata kumsemea achilia kulala Pa1.Kaamua tu kuwastahi hakuna Cha dawa wala Nini..
Inaonekana we mkubwa wake nawe ulikuwa kiherehere unaenda kumsemelea..