Jibu swali langu kwanzaHivi umeelewa nilichokisema au ume ni quote tyuuuh? Kuhusu suala la kumkubal au kumkataa huyo muhusika halihusiki hapa.
Mpe ushauri aliyeleta uzi.
Sikuleta uzi mie, subiri had nilete uzi wangu kuhusiana na suala hili, afu utauliza hilo swali lako na utajibiwa vilivyo haswaaa,Jibu swali langu kwanza
Swali linakuhusu wewe personallySikuleta uzi mie, subiri had nilete uzi wangu kuhusiana na suala hili, afu utauliza hilo swali lako na utajibiwa vilivyo haswaaa,
Mpe ushauri mleta uzi.
He he wenye vipaji vyao ndivyo mlivyo.. haya sio Basi tukuite kikojozi mstaafu.. subiri mafao tu..![]()


umekazania mie sio kikojozi bhanaa.Hivi hata unaelewa? Au unaona fahali kujibizana na mie? Nimeshakujibu subiri had nilete uzi wangu ndo uulize afu uone km hautajibiwa.Swali linakuhusu wewe personally
Mleta uzi nimeshampa ushauri wangu.Hivi hata unaelewa? Au unaona fahali kujibizana na mie? Nimeshakujibu subiri had nilete uzi wangu ndo uulize afu uone km hautajibiwa.
Mpe ushauri mleza uzi.
Wanaume wameisha siku hizi hadi aibu...kweli huu ni ushauri wa kukaa na kuanza kuomba tukusaidie mawazo
Majibu yangu ni hayo nlosema subiri nilete uzi wangu afu uliza utajibiwa vizuri.Mleta uzi nimeshampa ushauri wangu.
Kilichobaki ni majibu yako your highness
Fresh mzee baba.Majibu yangu ni hayo nlosema subiri nilete uzi wangu afu uliza utajibiwa vizuri.
It's over
Ouk mzee kaka.Fresh mzee baba.
