Nimkubali huyu mwanamke au?

Nimkubali huyu mwanamke au?

Zaliiii laaaa mentaaaliiiiiii limetokea wakati kenzy ana ugwadu...😜 Akapendwa na demu mkaleeee...alafu anajifanya anaomba ushauri😎
 
Zaliiii laaaa mentaaaliiiiiii limetokea wakati kenzy ana ugwadu...😜 Akapendwa na demu mkaleeee...alafu anajifanya anaomba ushauri😎
🤣🤣 Mengine sio mazari ni mazarino unataka nikakaukiwe damu bro wako..
 
🤣🤣 Mengine sio mazari ni mazarino unataka nikakaukiwe damu bro wako..
🤣🤣🤣🤣 Bro unachezea zari hilo ..kukaukiwa damu kitu gani bhana..😂😂 utachunda na udomo zege wako oohhhooo
 
🤣🤣🤣🤣 Bro unachezea zari hilo ..kukaukiwa damu kitu gani bhana..😂😂 utachunda na udomo zege wako oohhhooo
Kwa kuwa sister wangu umetia tiki mi na msign in sasa ikibidi tunakuletea na katoto kakuite shangazi..😜
 
Kwa kuwa sister wangu umetia tiki mi na msign in sasa ikibidi tunakuletea na katoto kakuite shangazi..😜
Woyoooo🤸🤸🤸 hayo ndiyo maneno bro..piga kelele kwa tiiii akeeee weuweeee...shangazi Mimi jamani😍😍
 
Woyoooo🤸🤸🤸 hayo ndiyo maneno bro..piga kelele kwa tiiii akeeee weuweeee...shangazi Mimi jamani😍😍
Dada gani huyu anaruka mpk sarakasi..😂😂 hapa nina dada au Nina mcheza Kung Fu..😅
 
Dada gani huyu anaruka mpk sarakasi..😂😂 hapa nina dada au Nina mcheza Kung Fu..😅
🤣🤣🤣🤣 Advertise tu hiyo brooo...huyo Wii ajiandae akija kichwakichwa..atakutana na za uso😂😂😂😂
 
🤣🤣🤣🤣 Advertise tu hiyo brooo...huyo Wii ajiandae akija kichwakichwa..atakutana na za uso😂😂😂😂
He he! Ambacho hukijui ni kuwa anakabali moja hiyo inaitwa "Ni yeye"😂
By the way sitaingilia ugomvi wenu..😅
 
Yeye ni mzuri tu anashepu wenyewe wanaita utamu kunoga! Guu nikisema la bia nitakuwa simtendei haki, mtoto anaguu la whisky.

Shingo ndo tusiseme wanaita shingo la mnazi! Kwenye chuchu naomba nisiseme nitanogesha Mambo. Kiuno dondola si dondola nyigu si nyigu labda tu niseme Kama kilamba mwiko. Tuachane na hayo niende kwenye mada.

Weekend iliyoisha huyu kiumbe alinifata akanikuta nimeketi zangu nakunywa juisi kola yangu baridi nawaza nitabidisha vipi hicho kinywaji kiwe balimi! Alivyokuja tukasalimiana baada ya maongezi mawili matatu akatulia tuli then akaanza kuniuliza unakunywa nini?

Nikamwambia ni fanta akabisha. Mara akaomba nikamkatalia yeye alikuwa akisema anasikia harufu ya juisi kola!.. Anyway tuachane na hilo nililimaliza kiinjinia na alielewa si juisi kola japo alikubali kishingo upande.

Shida iliyokuwa imemleta alikuwa amekuja kuniambia kuwa ananipenda! Wala sikushangaa kwani hakuanza siku hiyo alianzaga na barua ila sikumjibu! So anachodai yeye ni kuwa anaona sitaki kumkubali kwakuwa nafikiri kuwa ati atakuwa akiniomba hela! Hili si tatizo bali tatizo kaniambia ati nisijali yeye hataniomba hata mia yangu atajitegemea. Sasa najiuliza huyu bibie anataka kuniweka kwenye mtego au?

Ushauri wenu wakuu isijekuwa ndo naenda kutolewa meno hivi hivi.
Nafasi adimu hiyo mzee kitu imejileta yenyew
 
Yeye ni mzuri tu anashepu wenyewe wanaita utamu kunoga! Guu nikisema la bia nitakuwa simtendei haki, mtoto anaguu la whisky.

Shingo ndo tusiseme wanaita shingo la mnazi! Kwenye chuchu naomba nisiseme nitanogesha Mambo. Kiuno dondola si dondola nyigu si nyigu labda tu niseme Kama kilamba mwiko. Tuachane na hayo niende kwenye mada.

Weekend iliyoisha huyu kiumbe alinifata akanikuta nimeketi zangu nakunywa juisi kola yangu baridi nawaza nitabidisha vipi hicho kinywaji kiwe balimi! Alivyokuja tukasalimiana baada ya maongezi mawili matatu akatulia tuli then akaanza kuniuliza unakunywa nini?

Nikamwambia ni fanta akabisha. Mara akaomba nikamkatalia yeye alikuwa akisema anasikia harufu ya juisi kola!.. Anyway tuachane na hilo nililimaliza kiinjinia na alielewa si juisi kola japo alikubali kishingo upande.

Shida iliyokuwa imemleta alikuwa amekuja kuniambia kuwa ananipenda! Wala sikushangaa kwani hakuanza siku hiyo alianzaga na barua ila sikumjibu! So anachodai yeye ni kuwa anaona sitaki kumkubali kwakuwa nafikiri kuwa ati atakuwa akiniomba hela! Hili si tatizo bali tatizo kaniambia ati nisijali yeye hataniomba hata mia yangu atajitegemea. Sasa najiuliza huyu bibie anataka kuniweka kwenye mtego au?

Ushauri wenu wakuu isijekuwa ndo naenda kutolewa meno hivi hivi.
Huyo ni mbuzi kafia kwa muuza supu...
Unachosubiri ni nini badala ya kula mzigo..

Mpe mtoto dyudyu.....kisha utaamua kama anakutega au laa..

Mambo ya kuombana pesa tutayajua baadae..
...
 
hamn kuna vitu sio vya kuacha kiukwel hyo nafas naitaman
Basi sawa mi najitupa kwake kama furushi la mahindi Sina cha kupinga sasa si mmeamua nikafe kibudu haina noma..😂
 
Huyo ni mbuzi kafia kwa muuza supu...
Unachosubiri ni nini badala ya kula mzigo..

Mpe mtoto dyudyu.....kisha utaamua kama anakutega au laa..

Mambo ya kuombana pesa tutayajua baadae..
...
🙄🙄 Roho wa yuda bado anaishi nasi..😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom