GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
mbona michango mingi hapa inasema amrudishe,jamani where is the love????:wink2:
naona waatu love wameishaitosa dirishani.
na wewe mbona umenitosa hivyo? vibaya hivyo pauline lol
mbona michango mingi hapa inasema amrudishe,jamani where is the love????:wink2:
Mh ukweli inawezekana pia, ila lizzy kumbuka hata kusoma hakijui, halafu haijui dar kwani hata outing nimpaka tukitoka wote pamoja ndo tunamchukua, ila unalosema ni kweli, yaweza kua ashapata walimu.
Mamushka,
Hii kitu nimeipitia tena wangu nilimsomesha redcross akapanda mpaka sasa nasikia anachukua degree ya nursing muhimbili lkn alichonitenda sina hamu aliniibia kila vitu vyangu vya gold vyote, na matusi juu, lkn hakumaliza mwezi alirudi na mgoti sikumkubali na bahati mbaya alikuwa na mimba ya kijana wa jirani ndo ilimuokoa wakamtunza na kaolewa na anasoma. Ila usimrudishe
mimi pia kujuta ndo naogopa, huruma inaniijia but kama amelala nje jana then ni mrudishe bila kujua elimu alopewa huko aliko mh, yaweza ni cost wangu. Ngoja akirudi ntamsikiliza anachosema.
the best ni kumsamehe.......
watu wakikosea na kujua makosa yao...
wanaweza badilika....
msamehe kwanza mpe...probation period...
kama ni yatima mbna unafanya jambo zuri,makosa yanasameheka.ukimfukuza huwez jua utampata yup.ww mvumilie mbna ndo maisha,unasuluhsha then yanaisha,kama ni kufukuza utafukuza wangap?
mpe chance mbona hata vyuoni kuna SAPUNikweli lakini, kwani anadai mi nampenda sana dada na pia napenda kuishi nae sijui kwanini nimefanya hivi.