Nimfuate au nikomae tu?

Na yule uliyemhadaa Kwamba huna Kaz?
 
Ushauri wangu kwenye hii issue

Tufanye ingekuwa wewe mkeo kapigiwa simu kwenye mazingira kama hayo alafu arudi sa10 ungefanya nn?

Majibu utayopata yatakusaidia umfate au umpotezee.
Hahaaa! Yaani ametoka kijijini kafika mjini halafu hata kazi hana, mara kapigiwa simu akatoe msaada ndo arudi saa 10 alfjir!?

Hizi habari za usawa kati ya ke na me ndo zinasababisha matatizo mengi mengi!
 
Mkuu naona wewe umetoa ushauri ukiwa nje ya JF. Hongera sana
 
Toa taarifa kwa wazazi wake na usilitafute tena hilo jinga...litarudi tu lenyewe.
 
Yani kuomba ushauri jf bhana, yani unaweza kuhisi wao hawa na changamoto, hivi kweli kuna sababu yamsingi ya kuachana hapo???
Wanawake asilimia kubwa tuko tu hivyo, mwanaume ishini na sisi kwa akili
 
Hivi mnafikiri sawasawa kabisa? Muondoke usiku na mtoto kwa sababu mwanamke ana wivu tena sio kuondoka ni mnaenda kutoa msaada kwa mgonjwa na mtoto?
 
Yani kuomba ushauri jf bhana, yani unaweza kuhisi wao hawa na changamoto, hivi kweli kuna sababu yamsingi ya kuachana hapo???
Wanawake asilimia kubwa tuko tu hivyo, mwanaume ishini na sisi kwa akili
Akili sisi tunazo nyie je mnazo? Yan kwa wivu tu ndio uondoke nyumbani? Umeenda wapi na mjini umekuja juzi?
 

Ukimfata huyo mwanamke ndo safari yako ya mwisho kuwa na sauti kwenye ndoa yako.

Ningemuacha aende atakapojisikia aombe kurudi. Hapo ningetumia hiyo kama fursa ya kumpiga pini za mipaka ili asije akanichukulia poa.

Usimruhusu mwanamke atumie mtoto kama silaha ya kukuumiza and believe me, they know how to use kids to control men.

Ukweza kukwepa huo mtego na kubaki kwenye reli, utakuwa salama kinyume cha hapo, umekwisha.
 
Teh we una akili


Za kuambiwa ongezea na zako!

Kibaya zaidi jf imevamiwa na machoko/mabwabwa kwahiyo mwanaume ukileta ishu ya kugonbana na mkeo, unapokelewa na comments kama hizi negative afu unafatwa Pm
 
Nyie mnamuamini huyo alienda kwa jamaa yake?...wanaume ni waongo sana humu
 
Very true...hakwenda sehemu halali
 
shukuru Mungu umejua amemrudia mwanaume wake. Kuzaa mtoto si sababu ya wewe kuvaa kitanzi shingoni. endelea na maisha yako
 
 
Wape taarifa wazazi wake kuhusu kilichotokea then usimtafute mpaka atakaporudi mwenyewe. Na akirudi mpe misimamo yako kuhusu maisha na usimchekee tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…