Nimfuate au nikomae tu?

Nimfuate au nikomae tu?

Ushauri wangu kwenye hii issue

Tufanye ingekuwa wewe mkeo kapigiwa simu kwenye mazingira kama hayo alafu arudi sa10 ungefanya nn?

Majibu utayopata yatakusaidia umfate au umpotezee.
 
Kama umejidhibitishia kachepuka muache ila kama sababu ni hiyo tu mbona simpo inavyoonesha huyo dem anakupenda sana kiasi anashindwa kudhibiti hisia zake bro ukimjua mwanamke hawezi kukusumbua sema nini tatizo lako una mfumo dume pasipo kujali hisia za mwenzako tufanyeje ww ndio dem mchiz kakuleta gheto mara mchizi ndio....... kila mmoja uwaza anachojua so heshim hisia za mwenzako Oya acha upuuzi hebu tumia uanaume mpeti huyo manzi utaacha wangapi ***** au we mgeni humu jf mpe maneno lain yemwenyewe atarudi,,.... ukiwajua wala usumbuki sema wanaume wengi hatuna uelewa tumekalia misemo ya kitaa
 
Piganie shemeji arudi, watu wanapitia magumu na wanakumbatia wake zao haijalishi wanamapungufu kiasi gani
FB_IMG_16632576420940574.jpg
 
Ili asije kurudia hiyo tabia inatakiwa umuwashie moto wa hatari na akueleze alikuwa analala wapi? Na kwa ruhusa ya nani? Na kwa nini ameondoka nyumbani? Hapo utakuwa umemjenga kiakili ili asije kukusumbua huko mbeleni na ikiwezekana washirikishe hadi wazazi wa pande zote. Hii itamfanya apunguze utoto,wivu wa kijinga na upumbavu alionayo.
 
Iko hivi, juzi alikuja mpnz wangu kuja kuishi, (tuna mtoto) baada ya kukaa kijijini kwa kipindi fulani nikaomba kwa wazazi wake aje tusaidiane baadhi ya mambo, (nataka kumsapoti kwa issues za kibiashara walau aweze kujipatia kipato, maana hatuijui kesho)

Sasa ameingia jijini kama siku 4 zilizopita, Jana majira ya saa tatu usiku nikapigiwa simu mke wa jamaa yangu kwamba jamaa ana hali mbaya mno, tunaweza kumpoteza kwa jinsi alivyo!

Nikamwambia mgeni wangu hiyo situation na kumuomba anisubiri nitarudi, akagoma "Hamna kwenda" nikajaribu kumuelewesha akagoma, kwa hisia kwamba aliyenipigia simu ni mwanamke hivyo hiyo habari ya rafiki yangu ni uzushi, nikaona isiwe tabu, nikaondoka!

Nimefika kwa jamaa nakuta hajitambui na anatoka povu mdomoni, (sijui alikula kitu gani) maana baada ya kufika hospital ikaonyesha amekula sumu, sijui aina gani huko, wamehangaika naye bahati nzuri akanusurika!

Mpaka majira ya saa kumi asubuhi ndo nimeingia home, nikakuta bibie amelala! Nikajipumzisha kidogo then nikaamka kwenda job.

Nikiwa job bibie akanitumia msg, ukirudi haunikuti, haiwezekani unaniacha ndani unakwenda kulala na mwanamke aliyekupigia simu!

Sikujibu, nimerudi home nakuta mabegi yake hayapo, na yeye anamalizia kumuandaa mtoto aondoke, nimejaribu kuongea naye lakini hajanielewa kabisa akaondoka zake!

Mida hii nimemuandikia kuwa alikuja jijini kwa ajili yangu,wazazi wake wanajua yupo na mimi hivyo namtaka nyumbani haraka, akanijibu kama namtaka nyumbani basi niende nikamfuate! Nikumuuliza yupo wapi ananiambia nimtafute mpaka nimpate...khaaaaaaa!

Nimeshikwa na hasira kweli kweli, nimfuate au nimpotezee tu, kinachoniuma ni kwamba yupo na mtoto mdogo, hivi wanawake wengine mkoje??? Huyu ananisumbua asubuhi hivi, ntawaza habari ya kumuoa kweli? Na hata nikifosi ndoa na mtu wa hivi, hiyo ndoa itadumu kweli???
View attachment 2361829
Sasa hapo unaumiza kichwa kwa nini hebu endelea na mambo yako, cha msingi wataarifu wazazi wake yaliyojiri ili wajue hayupo kwako halafu mpotezee

Am telling you atarudi tu,ukimzoeza kumnyenyekea atakusumbua

Hata hivyo ni ukosefu wa adabu kuondoka kwako pasipo kusema unapoenda, kama alihisi umemkosea angeenda kwa wazazi au mtu ambae anajulikana na familia sasa hapo hata hujui yuko wapi

Hali ya ugonjwa na dharura kama hizo zinajulikana hakua na sababu ya kukasirika kiasi cha kuondoka nyumbani, alitakiwa akuamini na kukupa support

Mwisho wa siku wewe ni mwanaume and you should act as one
 
Mi naona we ndio mwenye makosa kwa maelezo yako inaonekana ulishindwa kujali na kudhibiti hisia za mwenzako ukatumia ubabe,kwa Nini usingemwambia tu kwamba Kama huamini Basi twende wote tuongozane ungepungukiwa Nini?ukarudi saa kumi daaa nahisi ulikokuwa hakukuwa halali
 
Sema nini mkuu, ulikosea maana huyo mwanamke ulivyomleta mjini lazima alikuwa anahisi unamtu wako huku so kitendo cha kum'ignore na kuondoka na kurudi alfajir lazima ajiongeze kuwa ulienda kulala na huyo aliekupgia simu.

Ulipaswa kumuambia muende wote kama hakuamini..

But all in all huyo mwanamke inaonyesha kuna watu/mtu alikuwa na mawasiliano nae zaid huku jijini kabla ya wewe kumleta, ila alikuwa anakosa njia yakufika so wewe umemfanikishia hilo ndio maana katafuta sababu yakuondoka fasta.

Toa taarifa kwa wazazi wake then mpotezee, atakutafuta mwenyewe.
 
Ndugu kama mnaweza kulea mtoto mbali mbali lea ila kama ni kutaka kuweka mke ndani kazi unayo bro!

Kuishi na mwanamke ambae hakuamini ni kazi sana kila siku wewe utakua ni wa kujieleza tu na bahati mbaya ni kua hata ukijieleza anakusikiliza tu ila anaamini kila alichoamua yeye.

Mwisho wa siku utakua unaishi maisha ya kua na hofu iliyopitiliza ili mradi tu usimkwaze.
Ndo maisha niliyoish full hofu mwisho wa siku kabeba vitu vyote vya ndani kasepa zake na mtoto.
 
Iko hivi, juzi alikuja mpnz wangu kuja kuishi, (tuna mtoto) baada ya kukaa kijijini kwa kipindi fulani nikaomba kwa wazazi wake aje tusaidiane baadhi ya mambo, (nataka kumsapoti kwa issues za kibiashara walau aweze kujipatia kipato, maana hatuijui kesho)

Sasa ameingia jijini kama siku 4 zilizopita, Jana majira ya saa tatu usiku nikapigiwa simu mke wa jamaa yangu kwamba jamaa ana hali mbaya mno, tunaweza kumpoteza kwa jinsi alivyo!

Nikamwambia mgeni wangu hiyo situation na kumuomba anisubiri nitarudi, akagoma "Hamna kwenda" nikajaribu kumuelewesha akagoma, kwa hisia kwamba aliyenipigia simu ni mwanamke hivyo hiyo habari ya rafiki yangu ni uzushi, nikaona isiwe tabu, nikaondoka!

Nimefika kwa jamaa nakuta hajitambui na anatoka povu mdomoni, (sijui alikula kitu gani) maana baada ya kufika hospital ikaonyesha amekula sumu, sijui aina gani huko, wamehangaika naye bahati nzuri akanusurika!

Mpaka majira ya saa kumi asubuhi ndo nimeingia home, nikakuta bibie amelala! Nikajipumzisha kidogo then nikaamka kwenda job.

Nikiwa job bibie akanitumia msg, ukirudi haunikuti, haiwezekani unaniacha ndani unakwenda kulala na mwanamke aliyekupigia simu!

Sikujibu, nimerudi home nakuta mabegi yake hayapo, na yeye anamalizia kumuandaa mtoto aondoke, nimejaribu kuongea naye lakini hajanielewa kabisa akaondoka zake!

Mida hii nimemuandikia kuwa alikuja jijini kwa ajili yangu,wazazi wake wanajua yupo na mimi hivyo namtaka nyumbani haraka, akanijibu kama namtaka nyumbani basi niende nikamfuate! Nikumuuliza yupo wapi ananiambia nimtafute mpaka nimpate...khaaaaaaa!

Nimeshikwa na hasira kweli kweli, nimfuate au nimpotezee tu, kinachoniuma ni kwamba yupo na mtoto mdogo, hivi wanawake wengine mkoje??? Huyu ananisumbua asubuhi hivi, ntawaza habari ya kumuoa kweli? Na hata nikifosi ndoa na mtu wa hivi, hiyo ndoa itadumu kweli???
View attachment 2361829
Sioni swali hapa, kama wewe no mwanaume tuone uanaume wako, kama asubuhi unakunywa juisi je mchana utakunywa Chai akili kumkichwa.
 
Mi naona we ndio mwenye makosa kwa maelezo yako inaonekana ulishindwa kujali na kudhibiti hisia za mwenzako ukatumia ubabe,kwa Nini usingemwambia tu kwamba Kama huamini Basi twende wote tuongozane ungepungukiwa Nini?ukarudi saa kumi daaa nahisi ulikokuwa hakukuwa halali
Yaani nimwambie twende wote usiku na mtoto? Big noo! Siwezi kuwa demokratik kiasi hiki...
 
Ndo maisha niliyoish full hofu mwisho wa siku kabeba vitu vyote vya ndani kasepa zake na mtoto.
Pole bro! Hakuna kitu kigumu kama kuishi na mtu ili mradi tu usimkere. Na kwa binadamu hilo haliwezekani kuna muda tu utazingua ila ukizingua sasa mwenzako anatoa hukumu kana kwamba umefanya makusudi. Hata usipopokea simu on time kazi unayo kumridhisha kwa nini hukupokea.
 
Brother, don't be pussified to that level.

Iko hivi wewe ndio kichwa cha familia na usikubali kuendeshwa na kupangiwa wapi uende na wapi usiende.Hebu fikiria kama usingefika kwa rafiki yako alafu kesho yake unaambiwa kua alifariki ingekuaje?

Mwanamke ni kama mtoto akifanya kitu muadhibu, kama usipofanya hivyo ataendelea kufanya zaidi na siku utakapotaja kumuadhibu utajikuta upo katika tanuru la moto.

Kwa kusema hayo, we toa taarifa kwao na kuwaelezea mkasa mzima na usitake waanza kukushauri maana lazima watakua upande wa mtoto wao, pia usimfate wala kumtafuta na siku akirudi aje na counter book iliyojaa maelezo.
 
Back
Top Bottom