khaligraph
JF-Expert Member
- Nov 19, 2016
- 1,147
- 1,075
Vunga kwanza, atakuja mwenyewe uyo na apologies za kutosha.
She is 27 kabisa!Muwage mnataja na umri wa wahusika wadau !!
Sasa hapo unaumiza kichwa kwa nini hebu endelea na mambo yako, cha msingi wataarifu wazazi wake yaliyojiri ili wajue hayupo kwako halafu mpotezeeIko hivi, juzi alikuja mpnz wangu kuja kuishi, (tuna mtoto) baada ya kukaa kijijini kwa kipindi fulani nikaomba kwa wazazi wake aje tusaidiane baadhi ya mambo, (nataka kumsapoti kwa issues za kibiashara walau aweze kujipatia kipato, maana hatuijui kesho)
Sasa ameingia jijini kama siku 4 zilizopita, Jana majira ya saa tatu usiku nikapigiwa simu mke wa jamaa yangu kwamba jamaa ana hali mbaya mno, tunaweza kumpoteza kwa jinsi alivyo!
Nikamwambia mgeni wangu hiyo situation na kumuomba anisubiri nitarudi, akagoma "Hamna kwenda" nikajaribu kumuelewesha akagoma, kwa hisia kwamba aliyenipigia simu ni mwanamke hivyo hiyo habari ya rafiki yangu ni uzushi, nikaona isiwe tabu, nikaondoka!
Nimefika kwa jamaa nakuta hajitambui na anatoka povu mdomoni, (sijui alikula kitu gani) maana baada ya kufika hospital ikaonyesha amekula sumu, sijui aina gani huko, wamehangaika naye bahati nzuri akanusurika!
Mpaka majira ya saa kumi asubuhi ndo nimeingia home, nikakuta bibie amelala! Nikajipumzisha kidogo then nikaamka kwenda job.
Nikiwa job bibie akanitumia msg, ukirudi haunikuti, haiwezekani unaniacha ndani unakwenda kulala na mwanamke aliyekupigia simu!
Sikujibu, nimerudi home nakuta mabegi yake hayapo, na yeye anamalizia kumuandaa mtoto aondoke, nimejaribu kuongea naye lakini hajanielewa kabisa akaondoka zake!
Mida hii nimemuandikia kuwa alikuja jijini kwa ajili yangu,wazazi wake wanajua yupo na mimi hivyo namtaka nyumbani haraka, akanijibu kama namtaka nyumbani basi niende nikamfuate! Nikumuuliza yupo wapi ananiambia nimtafute mpaka nimpate...khaaaaaaa!
Nimeshikwa na hasira kweli kweli, nimfuate au nimpotezee tu, kinachoniuma ni kwamba yupo na mtoto mdogo, hivi wanawake wengine mkoje??? Huyu ananisumbua asubuhi hivi, ntawaza habari ya kumuoa kweli? Na hata nikifosi ndoa na mtu wa hivi, hiyo ndoa itadumu kweli???
View attachment 2361829
Ndo maisha niliyoish full hofu mwisho wa siku kabeba vitu vyote vya ndani kasepa zake na mtoto.Ndugu kama mnaweza kulea mtoto mbali mbali lea ila kama ni kutaka kuweka mke ndani kazi unayo bro!
Kuishi na mwanamke ambae hakuamini ni kazi sana kila siku wewe utakua ni wa kujieleza tu na bahati mbaya ni kua hata ukijieleza anakusikiliza tu ila anaamini kila alichoamua yeye.
Mwisho wa siku utakua unaishi maisha ya kua na hofu iliyopitiliza ili mradi tu usimkwaze.
Sioni swali hapa, kama wewe no mwanaume tuone uanaume wako, kama asubuhi unakunywa juisi je mchana utakunywa Chai akili kumkichwa.Iko hivi, juzi alikuja mpnz wangu kuja kuishi, (tuna mtoto) baada ya kukaa kijijini kwa kipindi fulani nikaomba kwa wazazi wake aje tusaidiane baadhi ya mambo, (nataka kumsapoti kwa issues za kibiashara walau aweze kujipatia kipato, maana hatuijui kesho)
Sasa ameingia jijini kama siku 4 zilizopita, Jana majira ya saa tatu usiku nikapigiwa simu mke wa jamaa yangu kwamba jamaa ana hali mbaya mno, tunaweza kumpoteza kwa jinsi alivyo!
Nikamwambia mgeni wangu hiyo situation na kumuomba anisubiri nitarudi, akagoma "Hamna kwenda" nikajaribu kumuelewesha akagoma, kwa hisia kwamba aliyenipigia simu ni mwanamke hivyo hiyo habari ya rafiki yangu ni uzushi, nikaona isiwe tabu, nikaondoka!
Nimefika kwa jamaa nakuta hajitambui na anatoka povu mdomoni, (sijui alikula kitu gani) maana baada ya kufika hospital ikaonyesha amekula sumu, sijui aina gani huko, wamehangaika naye bahati nzuri akanusurika!
Mpaka majira ya saa kumi asubuhi ndo nimeingia home, nikakuta bibie amelala! Nikajipumzisha kidogo then nikaamka kwenda job.
Nikiwa job bibie akanitumia msg, ukirudi haunikuti, haiwezekani unaniacha ndani unakwenda kulala na mwanamke aliyekupigia simu!
Sikujibu, nimerudi home nakuta mabegi yake hayapo, na yeye anamalizia kumuandaa mtoto aondoke, nimejaribu kuongea naye lakini hajanielewa kabisa akaondoka zake!
Mida hii nimemuandikia kuwa alikuja jijini kwa ajili yangu,wazazi wake wanajua yupo na mimi hivyo namtaka nyumbani haraka, akanijibu kama namtaka nyumbani basi niende nikamfuate! Nikumuuliza yupo wapi ananiambia nimtafute mpaka nimpate...khaaaaaaa!
Nimeshikwa na hasira kweli kweli, nimfuate au nimpotezee tu, kinachoniuma ni kwamba yupo na mtoto mdogo, hivi wanawake wengine mkoje??? Huyu ananisumbua asubuhi hivi, ntawaza habari ya kumuoa kweli? Na hata nikifosi ndoa na mtu wa hivi, hiyo ndoa itadumu kweli???
View attachment 2361829
Yaani nimwambie twende wote usiku na mtoto? Big noo! Siwezi kuwa demokratik kiasi hiki...Mi naona we ndio mwenye makosa kwa maelezo yako inaonekana ulishindwa kujali na kudhibiti hisia za mwenzako ukatumia ubabe,kwa Nini usingemwambia tu kwamba Kama huamini Basi twende wote tuongozane ungepungukiwa Nini?ukarudi saa kumi daaa nahisi ulikokuwa hakukuwa halali
Pole bro! Hakuna kitu kigumu kama kuishi na mtu ili mradi tu usimkere. Na kwa binadamu hilo haliwezekani kuna muda tu utazingua ila ukizingua sasa mwenzako anatoa hukumu kana kwamba umefanya makusudi. Hata usipopokea simu on time kazi unayo kumridhisha kwa nini hukupokea.Ndo maisha niliyoish full hofu mwisho wa siku kabeba vitu vyote vya ndani kasepa zake na mtoto.