Nimfanyeje mtu huyo

Nimfanyeje mtu huyo

Muache. Utapata mwingine.



Nilikua katika uhusiano na msichana mmoja wa chuo fulani,kwa mda mfupi tulipendana kwa kiasi ambacho sikutarajia,tukapanga jinsi maisha yetu yatakavyo kua hapo baadae,cha ajabu baada ya kufungua chuo akaridi chuoni baada ya wiki km mbili napiga cm anapokea kwa unyonge then nasikia sauti ya mwanaume ikabid nikare cm then sms inaingia kwenye cm yangu kua tusitishe uhusiano coz ameamua kurud kwa boy wake wa zamani anaesoma nae,da imeniuma sana mpaka leo na nampenda sana sipendi nimuache bt ikibid ntafanya hivyo.Je nifanyeje
 
Muombee maisha mazuri huko aendako, asije yakamshinda halafu akarudi tena kwako ukiwa umeshasonga mbele na kukufanya uwe njia panda
 
bila shaka huyu jamaa atakua ni mseminari kaka next tym unakua nusu nusu then una keep looking for other options vinginevyo jumba bovu litakuangukia kila siku yan
 
bila shaka huyu jamaa atakua ni mseminari kaka next tym unakua nusu nusu then una keep looking for other options vinginevyo jumba bovu litakuangukia kila siku yan

by jingle:kaka ww sio wa kwanza kuumizwa na hawa viumbe waliopo vyuoni!mm ni mmoja wa waathirika wa jambo hilo!nusra nipatwe na wenda wazimu!siyo kesi chukua muda kulifikiria hilo.that's what life goes!
 
Pole sana Mkuu........cha msingi jitahid kuangalia mwelekeo mwingine utaokuweka sawa........jitahid kupotezea kila wzo linapo kuja........watoto wa chuo bado wanakua so wanapenda kujaribisha......pole sana mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom