- Thread starter
- #61
inawezekana kwa kweli. Natamani ningewajuaaInaonekana wewe na huyo jamaawote nimember hapahalafu na hao wadada kumi wengi wapo hapana usikute ndio hao wanaokupa advice now......Hii ni bonge la movie kwa kweli.............
inawezekana kwa kweli. Natamani ningewajuaaInaonekana wewe na huyo jamaawote nimember hapahalafu na hao wadada kumi wengi wapo hapana usikute ndio hao wanaokupa advice now......Hii ni bonge la movie kwa kweli.............
Wewe Ladywho wewe sio G wewe, Ina ni touch at, lakini hukukuta Nguo za Mademu na sms 10, ulikuta SMS 1 tu...
Uongo????!!!!!!
Waweza nii inbox Mamy
Duhh JF Bwana....!!!!!!ndio mimi mpenzi! Kumbe unaitwa bramo humu? Umeona maushauri walionipa watu hapa? Nikumwage, nisirudi utaniuaa
Niliangukia ktk penzi la fisadi wa mapenzi, nikampenda na kwa dhati nilitamani awe mume wangu wa maisha. Mwaka mzima tumekuwa marafiki ila majuzi nilifika anapoishi tulitaka tukamilishe mzunguko wa huo upenzi we2, nyumba, gari kazi nzur anavyo...ila tabia yake sasa. Ktk pekua pekua ya kike, nimekuta nguo za wanawake 5 tofauti zimeifadhiwa chumba cha pili ktk mafurush, simu yake msg za wadada km 10 hv wote amechat nao kihatari hatari..ngono! Ckuweza kumezea ivyo nikamuuliza akaruka kuvijua vi2 ivyo na msg akadai wadada wote hao wanamtongoza! Nilishindwa la kusema zaidi ya kujibebea walet yangu na kusepa huku namshukuru Mungu ckuwa nimepanua paja...! SASA ANANISUMBUA, ANATAKA NIMRUDIE, NIMSAMEHE, ATAWAACHA WOTE KWA AJILI YANGU...ANANIKERA...SIMTAKI...NIMFANYEJE FISADI HUYU AACHANE NA KUNISUMBUAA?! Najua hawezi kubadilika kabisaa!
Hawezi kubadilika kwa kweli.You are wrong, angekuwa anakutaka kama wa kupita tu asingekuvumilia mwaka mzima bila kumpanulia paja! Msikilize. Na inawezekana kabisa wewe ukawa ndio msaada mkubwa katika kubadilisha maisha yake.Kuna rafiki yangu mmoja yeye alikuwa even worse. Alikuwa analala gesti ya jirani na baa anayokunywa siku hiyo. Akaja akapata mwanamke aliyembadilisha kabisa na akabadilika na wakaoana. Anamuheshimu sana mkewe na kumshukuru kwa hilo na ndoa yao ina miaka zaidi ya kumi sasa.Jaribu kuwa na moyo wa kuleta mabadiliko katika maisha na mioyo ya watu nawe utabarikiwa!
Ntajuaje hakutaka kupita tu? Una uhakika gani kuwa resistance yangu ndio imefanya hajanibanjua mpk leo? Mi nataka aache kunisumbua basiYou are wrong, angekuwa anakutaka kama wa kupita tu asingekuvumilia mwaka mzima bila kumpanulia paja! Msikilize. Na inawezekana kabisa wewe ukawa ndio msaada mkubwa katika kubadilisha maisha yake.Kuna rafiki yangu mmoja yeye alikuwa even worse. Alikuwa analala gesti ya jirani na baa anayokunywa siku hiyo. Akaja akapata mwanamke aliyembadilisha kabisa na akabadilika na wakaoana. Anamuheshimu sana mkewe na kumshukuru kwa hilo na ndoa yao ina miaka zaidi ya kumi sasa.Jaribu kuwa na moyo wa kuleta mabadiliko katika maisha na mioyo ya watu nawe utabarikiwa!
Duh! Ndio maana naipenda MMU zaidi hata ya JF teh! teh! teh!Hii cinema hiii acha tu lol
Na jamaa mwenyewe ni wewe hapoInaonekana wewe na huyo jamaa
wote nimember hapa
halafu na hao wadada kumi wengi wapo hapa
na usikute ndio hao wanaokupa advice now......
Hii ni bonge la movie kwa kweli.............
na jamaa mwenyewe ni wewe hapo
Kule ni noma, wanafundishwa na kutulia na mmoja tuhe he hee i wish ningekuwa mimi
madem zaidi ya kumi si mchezo
pengine jamaa alihitimu mafunzo ya babu singida lol
Utajuta umetemwa na gaudenciaWewe Ladywho wewe sio G wewe, Ina ni touch at, lakini hukukuta Nguo za Mademu na sms 10, ulikuta SMS 1 tu...
Uongo????!!!!!!
Waweza nii inbox Mamy
utajuta umetemwa na gaudencia
Nahis huyo Jamaaa kama nasemwa mie vileInaonekana wewe na huyo jamaa
wote nimember hapa
halafu na hao wadada kumi wengi wapo hapa
na usikute ndio hao wanaokupa advice now......
Hii ni bonge la movie kwa kweli.............
duh! Then list inaongezeka! GAUDENcia nae yumo!kumbe wewe ndie gaudencia ??????lol
huwez amini hilo unaloliona ndio jina langu halisikumbe wewe ndie gaudencia ??????lol
Kuna mtu kasema huyu mtoa mada ni G mie nikahisi jina lake ni hiloduh! Then list inaongezeka! GAUDENcia nae yumo!
Lol, hili Bonge la movie kwa kweli, sio Siri Ladywho Mpenzi, Nakupenda kama jana na juzi mwenzio,ukiniacha utanitenda,Please Njoo Mama tulienzi Penzi letu.ndio mimi mpenzi! Kumbe unaitwa bramo humu? Umeona maushauri walionipa watu hapa? Nikumwage, nisirudi utaniuaa
mh! Makubwa! Penzi limeshakufa kibudu, ubaki nao hao mie ckutaki tena!Lol, hili Bonge la movie kwa kweli, sio Siri Ladywho Mpenzi, Nakupenda kama jana na juzi mwenzio,ukiniacha utanitenda,Please Njoo Mama tulienzi Penzi letu.Kumbuka that day nilipo kugusa kunako na ukapiga kelele "Stooooop" Please, Nipe nafasi Nyingine Mpenzi