Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Kwani unafikir ukimwacha ndo hutopata mwingine? Nakuhakikishia kuwa mwingine utampata tu dadaangu, na atakua na wengine kama ukiendelea kubana hvyo vijipaja vyako....Mi ningekuchukua ila utanisumbua na hako katabia kako ka kubana miguu.