ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
Habari wadau.
Mzee wangu ni wale wazee wa miaka ilee maisha ya soft tach ( Maisha rahisi). Yaani enzi zilee za mashirika kwa hiyo wao maisha ni marahisi tu. Pia anasehemu zake za biashara maeneo ya ilala kama landlord mwisho wa mwezi anazikinga nyingiii.
Mzee mzima baada ya kuona hali hii nikaona ni neema kwangu hivyo oviaz nilijua nikimwomba goli mojawapo hatoninyima asilani.
Nikaanza tafuta mtaji kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali pia tukishauriana aina ya biashara ya kufanya.
Wakati mchakato ukiendelea vyema ghafla mshua akawapangisha wafanya biashara wengine. daah imeniuma sana.
Kiukweli siwezi ku afford kulipa karo sehemu kama hii ambayo very market place, na kodi yake iko higher sana.
Nahisi kudata sasa nifanyeje? wadau nao hawanielewi kabisa wanaona dizaini kama nilikua nataka niwatapeli vile baada ya kuwaona other guys wana operate sehemu ile.
Nimemshukia mshua amenijibu simpo tu. 'what i need is money'!
Daah maisha haya we acha tu.
Mzee wangu ni wale wazee wa miaka ilee maisha ya soft tach ( Maisha rahisi). Yaani enzi zilee za mashirika kwa hiyo wao maisha ni marahisi tu. Pia anasehemu zake za biashara maeneo ya ilala kama landlord mwisho wa mwezi anazikinga nyingiii.
Mzee mzima baada ya kuona hali hii nikaona ni neema kwangu hivyo oviaz nilijua nikimwomba goli mojawapo hatoninyima asilani.
Nikaanza tafuta mtaji kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali pia tukishauriana aina ya biashara ya kufanya.
Wakati mchakato ukiendelea vyema ghafla mshua akawapangisha wafanya biashara wengine. daah imeniuma sana.
Kiukweli siwezi ku afford kulipa karo sehemu kama hii ambayo very market place, na kodi yake iko higher sana.
Nahisi kudata sasa nifanyeje? wadau nao hawanielewi kabisa wanaona dizaini kama nilikua nataka niwatapeli vile baada ya kuwaona other guys wana operate sehemu ile.
Nimemshukia mshua amenijibu simpo tu. 'what i need is money'!
Daah maisha haya we acha tu.