Pole, ulitakiwa kumuelewesha mapema kuwa bosi wako ni mwanamke, pia anaweza piga simu kwa issue za kiofisi.Lakini kwa kuwa imeshatokea tafuta adhabu kali ya kumpatia
Nami nina mashaka na huyo bosi mwenyewe, anapiga simu kabla hata hujatoka (naamini muda utakuwa ni alfajiri ya kutosha tu), kwani ulisema hutaenda kazini siku hiyo? Au anaomba umsaidie kununua vitafunio on your way?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.