VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 3,099
- 2,209
Nimemlipia pango Januari mwaka huu lakini hajanikaribisha kwake hata siku moja licha ya kumuomba mara kadhaa. Leo mkataba wake wa pango unakaribia kwisha, ananiomba nimlipie tena!
Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe
Kwenye title ni mwanamke, sio mwanamme. Mambo ya smart phone, mnisamehe