Triple A
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 766
- 147
........haataa kweetuuu waaapoooo.....
mhhh ID yako imenifurahisha!!! Sijui nini...!
........haataa kweetuuu waaapoooo.....
Siku ingine ukiwapa lift wakaye seat ya nyuma wote!!
mkuu ina maana baada ya salamu, hakukuwa na maongezi mengine ndani ya gari na huyo binti wa njiani ?
Its so strange afyonye bila ya sababu.
ooh! kumbe unaishi nnje ya mji!!!
Mbona mkuu HP hiyo kesi imeisha toka pale alipozira na kukataa kupanda gari!...au nini unataka zaidi ya hilo?kama lifti ulitoa kwa huruma yako,mpewaji sasa haitaji wewe unatafuta kitu gani kingine?....au mkuu kuna kitu zaidi ya lifti ambacho unaona utapoteza kutokana na hilo tukio?.....yeye kapotezea then wewe potezea zaidi yake....hakuna kesi hapo kiongozi.
wewe lift unawapa wanawake tu???
au wanaume huwaonagi wakihangaika na tabu ya usafiri,...??
pole nadhani ulitaka kutumia gari yako kama chambo cha kupatia wanawake.....na ukawapata kweli.....
kifupi,usimpe huyo dada lift tena ukimuona uchune atajifunza kusonya watu asiowajua,uchune kabisaaa kama hujamuona kwanza una mtu mwingine wa kupiga naye stori kwenye gari (jirani) incase boredom ndio inakusumbua....
and second,jifunze kutokana na hii experience ya kusonywa kuwa OPEN,huyu dada wa pili asije akapata bichwa kwa kuona mwenzie 'kaachia ngazi' hivyo kumpa false hopes yeye kawa 'promoted' mwambie wazi kilichotokea na unafanya hivyo kama msaada tu na si vinginevyo...ili na yeye asipate matumaini ya kukuzoa...
mwisho OA uwe unampe lift mkeo tu.......ukionyesha udhaifu kuna wanawake ni mapapa yapo kuwinda tu shaurilo....
Ushauri wa bure. Achana naye atakuletea balaa kama angekuwa mkeo je? Kwa nini akasirike naye ulikuwa unamsaidia tu unless katika mazungumzo yenu katika siku mbili tatu ulizompa msaada wa usafiri ulitamka kitu ambacho kilijenga matumaini kwake!!
binafsi nimekuelewa mkuu.pengine hujawahi kumpenda huyu dada ila alijiaminisha kuwa hueda one day YES.....kwa kifupi achana nae na usimpe lift tena ....wakati anafunga mlango na kusonya ndo alikuwa anajimaliza........kaa nae mbali...hakuongezi humuongezi.....wema usizidi uwezo mkuu......
Mbona mkuu HP hiyo kesi imeisha toka pale alipozira na kukataa kupanda gari!...au nini unataka zaidi ya hilo?kama lifti ulitoa kwa huruma yako,mpewaji sasa haitaji wewe unatafuta kitu gani kingine?....au mkuu kuna kitu zaidi ya lifti ambacho unaona utapoteza kutokana na hilo tukio?.....yeye kapotezea then wewe potezea zaidi yake....hakuna kesi hapo kiongozi.