Nimfanyaje huyu dada? Yamenikuta leo asbh

Kwa kuwa nia yako ilikuwa ni kumsaidia tu na tayari amekataa msaada wako, we mpotezee. Kwani ukiamua kumsaidia ombaomba kwa kumpa pesa afu akaikataa, utahuzunika au utajiondokea na kumsahau?
 
Back
Top Bottom