Nimezipenda solution za January Makamba kiukweli

Nilivyokuwa mwanafunzi mlimani ilikuwa kuna kitu tunakiita kuzima moto.. ikimaanisha kusoma ile ya overnite halafu unaingia katika exam.. Nahisi kama serikali inafanya the same katika kutatua tatizo la umeme! Mungu atatufikisha salama japo chombo chetu chenda mrama!
 
Uyo Makamba ni kama baba yake akuna kitu anatafuta sifa tuu kujipendekeza kwa mafisadi, atuna imani nae uyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…