Nimezimiwa simu

Coco Bella una story wewe?
Kama tu last time tumepiga story weeee,ukanambia tutaonana MICASA LOUNGE,nimekuja MiCASA nikashangaa upo na tuvulana unapiga zako moja moto moja baridi!

Hahahaaaaa,sijui unaikumbuka hii?
 
pole kwaiyo dodoma umefikia wapi sasa coz wenyeji tupo wengi hapa dodoma njoo PM
 
Wahenga walisema BURE GHALI.

 
Coco Bella una story wewe?
Kama tu last time tumepiga story weeee,ukanambia tutaonana MICASA LOUNGE,nimekuja MiCASA nikashangaa upo na tuvulana unapiga zako moja moto moja baridi!

Hahahaaaaa,sijui unaikumbuka hii?

Heeeee tuvulana tena kuwa na adabu wewe, kwani na Wewe ulikuaje si ulikuwa kivulana tu afadhali ya yule
 
Kwa haraka haraka zima na yakwako. Akikublock nawe m'block. Asijione keki. Sijui umenisikia au niongeze sauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…