Nimezila chakula, njaa inauma hatari

Nimezila chakula, njaa inauma hatari

48752a7bbafe2b1aaf6f43a5a49e5707.jpg
Mpwa Giza lote hilo waelekea wapi?
 
Asubuhi nilisahau funguo, wife akatoka then kachelewa kurudi. Chakula alikuwa ameshapika

Sasa hasira za kuniweka nje ya nyumba kama saa zima nimeletewa chakula nimezila, nilijua wife atanibembeleza kumbe akasema poa. Kachukua chakula kaweka kwenye fridge

Mchana sikula, nikasema nitakula home usiku. Hapa njaa inauma balaa lakini sina cha kufanya

Ila huyu mwanamke hata kunibembeleza kidogo jamani, Usiombe yakukute

kah.. mkuu unakumbushia utoto au ndo mapenzi ya ukubwani!
 
Hahaaa!ilishawahi nikuta hii,nadhani ni utoto tuu,...nimefika nyumbani baada ya kutibuliwa nikazira na njaa inauma mbaya nikatoka nikapate choma choma mtaani (fyatanga),kufika nakuta jamaa ndio kamaliza kuzima moto!aisee hasira zote ziliishia kwake,nilimgombeza ila kesho yake ilibidi nimnunulie kasoda kupooza...ila mwisho wa yote niliishia kula biskuti na soda kama teja!...kurudi home wife kalala peaceful na anakoroma...nilitamani nimtwange ngumi ya pua!...utoto raha sana.....
 
Ha ha ha ha huyo mkeo nafanana nae tabiaaa ......Mimi kumbbeleza MTU kula atanisamehe.......wewe Susa tu ukisikia njaa omba cha kula ule noo kubembelezewa chakula...alafu uzuri wake njaa haina ufundiii
Wote mna tabia mbaya
 
Asubuhi nilisahau funguo, wife akatoka then kachelewa kurudi. Chakula alikuwa ameshapika

Sasa hasira za kuniweka nje ya nyumba kama saa zima nimeletewa chakula nimezila, nilijua wife atanibembeleza kumbe akasema poa. Kachukua chakula kaweka kwenye fridge

Mchana sikula, nikasema nitakula home usiku. Hapa njaa inauma balaa lakini sina cha kufanya

Ila huyu mwanamke hata kunibembeleza kidogo jamani, Usiombe yakukute
Aaaah kumbe huwa ni makusud ya kuzira io ndio dawa
 
Kwani hicho chakula amekirudisha sokoni? Amka upashe ule au muamshe mamatombombo hata saa tisa ya usiku mwambie njaa inauma kisengererema hebu fanya mambo fasta sisusi tena, unakula na yeye unampatika kimoja cha shukrani maisha yanasonga..kingine usirudie kumsusia mkeo..hizo tabia waachie wanao
 
Wanaume wa dar hata kula ubembelezwe?? Sie huku kwetu tukifika tunaulizia kama wameivisha tunakula tunashiba baadae tunaelekea kugegeda mzigo.. sasa we na njaa yako hiyo utagegeda kweli?? Na usipo gegeda kila siku ukazila kula hata mwezi .. si utapigiwa??
Kuna sehem alitaja hata tarafa moja ya daslam kwenye thread yake?
 
Mi sijawahi ona mwanaum anazila halafu anakuja kulia lia huku kwa WANAUME HALISI. kama umezila you move on unafanya mambo mengine.namna hii mnasababisha wanaume wengine pia wa kizaz chenu waonekane vile vile kama nyie. Sisi miaka yetu ni ngumu sana kusikia kwenye baraza la wazee au wanaume mtu anaongea neno kama hilo.tungemchpa bakora na kumtimua..

Cheki na GuDume akuletee Makange ya senene mkuu.
 
Hahahaaaaa!!
Haki hii post imenichekesha.
 
Mm zamam mke wangu alikuwa ananibembeleza kula , nikizila.


Siku hizi ananiacha , njaa inauma,

Bas siku hizi wamebadilika

Kumbe mnafanyaga makusudi ili mbembelezwe!!
 
Back
Top Bottom