Nimezila chakula, njaa inauma hatari

Nimezila chakula, njaa inauma hatari

Kwanza ushajua alipotoka?mana nahisi kama huo mtoko hukua na taarifa nao vilee....nawaza tuu lakini.
 
Simamia msimamo wako, kama uliweza kumkazia wife io njaa ikazie nayo, ila kama unahisi kuna dalili ya kuweka matanga asubuh toka nje viepe vipo mda huu kabla ya saa sita. Mwanaume ku legeza msimamo ni uboya.
 
Ndio maana siku hizi wanawake wanadai usawa.....kwa kuwa thamani ya mwanaume inashuka siku hadi siku
 
Au subiri alale, unakila unabakiza kdg alaf unakimwaga mwaga humo kwenye friji haraf tafta panya tia homo mwenye friji, afe asife poa tu, atasingiziwa marehemu panya. Ukome kuzira, ila msimamo hamna kulegeza.
 
Sizitaki mbichi hizi!
Jina la kigumu Baba Tupac kumbe mbwembwe tu!
 
Hahaa huu utoto ujue better uzile kingne kulko chakula ulchotoa pesa ww mwnyw. Zila had ....uone kazi ya vdume waciokuwa na kaz mtaan
 
48752a7bbafe2b1aaf6f43a5a49e5707.jpg
 
Asubuhi nilisahau funguo, wife akatoka then kachelewa kurudi. Chakula alikuwa ameshapika

Sasa hasira za kuniweka nje ya nyumba kama saa zima nimeletewa chakula nimezila, nilijua wife atanibembeleza kumbe akasema poa. Kachukua chakula kaweka kwenye fridge

Mchana sikula, nikasema nitakula home usiku. Hapa njaa inauma balaa lakini sina cha kufanya

Ila huyu mwanamke hata kunibembeleza kidogo jamani, Usiombe yakukute
Cheki na GuDume akuletee Makange ya senene mkuu.
 
Nilimuacha mwanaume kwasababu ya kuzila spendi mwanaume wa kususasusa ..mkeo kafanya la maana inaonekana ndo tabia yako kwahiyo kwahiyo keshachoka ndo maana kakupotezea na mwanamke akishachoka kitu kachoka sasa wewe endelea kususa wenzio wala
 
Mwanaume unasusa huku unahitaji kula??? Basi mkeo akisha sinzia nyata taratibu hadi kwa friji fungua piga msosi alafu nyata taratibu ingia kwa kitanda ulale, maana nimegundua kula unataka ila hutaki mkeo ajue kuwa unataka kula.
 
Asubuhi nilisahau funguo, wife akatoka then kachelewa kurudi. Chakula alikuwa ameshapika

Sasa hasira za kuniweka nje ya nyumba kama saa zima nimeletewa chakula nimezila, nilijua wife atanibembeleza kumbe akasema poa. Kachukua chakula kaweka kwenye fridge

Mchana sikula, nikasema nitakula home usiku. Hapa njaa inauma balaa lakini sina cha kufanya

Ila huyu mwanamke hata kunibembeleza kidogo jamani, Usiombe yakukute
Kachemshe mayai sita, shushia Na mtindi, muadhibu kwa harufu Kali ya ushuzi hadi akome
 
Back
Top Bottom