Nimezila chakula, njaa inauma hatari

Nimezila chakula, njaa inauma hatari

Mi sijawahi ona mwanaum anazila halafu anakuja kulia lia huku kwa WANAUME HALISI. kama umezila you move on unafanya mambo mengine.namna hii mnasababisha wanaume wengine pia wa kizaz chenu waonekane vile vile kama nyie. Sisi miaka yetu ni ngumu sana kusikia kwenye baraza la wazee au wanaume mtu anaongea neno kama hilo.tungemchpa bakora na kumtimua..
Hahahahaha.....katika ubora wako uliotukuka.
 
Wife wako katoka kuliwa amebinuliwa kila style kajichokea ananuka janaba badala ya kupumzika aanze kubembeleza jitu zima, kwanza anaona umempunguzia kazi.
Hajafanywa chochote, anamfunza mumewe tabia nzuri, hivyo unamsusiaje mkeo chakula? Yaani nikupikie kwa heshima zote na furaha leo uje ususe nikitoa hicho chakula hapo mezani ni mpaka tuijadili hiyo tabia la sivyo katika hesabu ya chakula huna namba na usitegemee kukaribishwa
 
Sasa hapo hujachelewa bado mapema jifanye mama furani naomba uniwekee chakula Nile kuna kazi nataka nalizie nikitoka kuoga.....hakikisha usoni unakuwa silias ndio salama yako....tofauti na hapo tunasubiri thread yako asubuhi ya kukosoa mafundi walivyokosea kutia bati vizur kwenye nyumba Mara misumali haikukamilika idadi ..wakati nyumba umejenga miaka minne iliyopita idadi ya misumal iliyotumika unajua leo
Simuwekei, labda ajichekeshe na kusema laaaah wife hata hutaniwi? Hebu Lete chakula basiii, hapo nitacheka sana nitatenga na tuvidonge kwa mbali "kumbe unatania hahaaaa usirudie wangu ungelala na njaa"
 
Ukiwa unasusa chakula au chochote uhakikishe umeshiba/uko vizuri.Mimi nakula nashiba nafuta mdomo unakauka kau
 
We hasira ungezihamishia kitandani usiku. Mpe kichapo hatari mpaka mashavu ya k yavimbe.
 
Safi sana mm nilikereka hiyo siku anapiga simu ohh ansikia njaa pika kabisa nishaivisha kaja namuandalia eti sina hamu ngoja nikangoja imefika saa nne ohh ngoja nikaona upuuz huu nikatia chakula.kwa fridge nikaenda lala ,,kaja kulala saa 9:30 imefika huyoo kaamka nasikia vyombo tu vinagonganishwa anapadha chakula ....mfyuuuu
 
Mama yangu ulikua ukizila kula anakushushia kipigo cha maana na unakula kwa lazima hadi sasa siwezi kuzila chakula
 
Mama yangu ulikua ukizila kula anakushushia kipigo cha maana na unakula kwa lazima hadi sasa siwezi kuzila chakula
Weee mkuu umenikumbusha mbali Mimi mama yangu ususi utakula kwa lazima na lazima ucheke kabla ya kula sio ombi ni lazima.....bisha uone....basi unaishia kujichekesha kama unataka kulia USO haunaa hata nuru wa mama wengineee sio wa mcheOoo
 
Sina tabia ya kuzila msosi hata kama nimeshiba kama mke atanichanganya namzingua then aende akapike sasa ole wake azingue moto anakuwa kama anaumwagia spirit
 
Back
Top Bottom