Nimezama kwa Bar Maid

Dah!! Mkuu huko siwezi kufikia bana. Hiyo level of heart attack niya juu sana
 
Hahahaaa!! Mkuu hapo hakuna fix. Hela ile aliitaka kwa nguvu siku ya kwanza kuonana. Ila baada ya kujuana hakuwahi kunilazimisha nimpe hela. Pole sana.
 
Mkuu unasema hujaona tabia mbaya wakati kakuuzia k [emoji50] !

Jaribu kuwa na uhusiano naye wa muda mrefu huku ukimchunguza zaidi kabla ya kuamua kumuidhinisha (kuoa) kabisa.
Acha niache muda uamue tu.
 
Kwa huo mtego hata ukimfanyia mfanyakazi wa benki anaingia king. Maana kila demu akitongozwa na kuonyeshwa mpunga na care kidogo anatoa mbunye. Atumie style nyingine ya kumchunguza pia kumbuka ukimchunguza sana bata humli
Ukimchunguza sana bata huwezi kumla mkuu
 
kijana fuata moyo wako kama qualities za kua mke anazo basi oa tu. mimi nimeoa mwanamke wa ivyo alikua anafanya kazi basi na sasa tuko ndani ya ndoa 3 years na tumebalikiwa binti mrembo sana. ivyo kufanya kazi bar kusikutishe kwasababu wengine wanafanya kutokana na life ngumu ila sio mapenzi yao
 
Kama unampenda mtafutie kazi yenye hadhi na heshims kwa jamii kulingana na elimu yake
Utakuwa umemsitiri ns vile vile ni kipimo cha kuangalia je? Atabadilika au ataendelea kukuheshimu
 
Ombi langu Mimi,chukua kitu hiyo acha kusita.siku hizi hawa tulionao mitaani ndio wanatoa papuchi kuliko mabar maid.
 
Mimi kwa uzoefu wangu ndoa inapangwa na Mungu aisee. Hii kitu ndio hatima ya maisha yako so uko katikati yako na hatima ya maisha yako. Na kama ujuavyo hatujui kesho yetu so mkabidhi Mungu njia yako omba funga mshirikishe Mungu sana hilo eneo haijalishi umeendelea kias gan au umesoma kias gan, ukikosea kuoa umekosea maisha yako yote so ingia ndan ya moyo wako umkabili Mungu yeye ni mwaminifu hata kunyima wa kufanana na wewe.
La msingi unatakiwa ukumbuke hili cku zote Ndoa ilianzishwa na Mungu pale paradiso la kwa misingi hiyo unatakiwa uende kwake akupe aliyekuandalia. Ucdanganywe na ujana au elimu plz nakuomba tena hilo eneo hata maprof wamefeli. Kingine angalia asili ya watu coz nature never change. Wala usimuoe mtu kwa kumuonea huruma au kwa elimu yake au kwa utajir wa familia yao au umasikin wao
 
Mimi kwa uzoefu wangu ndoa inapangwa na Mungu aisee. Hii kitu ndio hatima ya maisha yako so uko katikati yako na hatima ya maisha yako. Na kama ujuavyo hatujui kesho yetu so mkabidhi Mungu njia yako omba funga mshirikishe Mungu sana hilo eneo haijalishi umeendelea kias gan au umesoma kias gan, ukikosea kuoa umekosea maisha yako yote so ingia ndan ya moyo wako umkabili Mungu yeye ni mwaminifu hata kunyima wa kufanana na wewe.
La msingi unatakiwa ukumbuke hili cku zote Ndoa ilianzishwa na Mungu pale paradiso la kwa misingi hiyo unatakiwa uende kwake akupe aliyekuandalia. Ucdanganywe na ujana au elimu plz nakuomba tena hilo eneo hata maprof wamefeli. Kingine angalia asili ya watu coz nature never change. Wala usimuoe mtu kwa kumuonea huruma au kwa elimu yake au kwa utajir wa familia yao au umasikin wao
 
Very true mkuu... Umenena vema kabisa. Nafanyia kazi maoni yako...
 
Ombi langu Mimi,chukua kitu hiyo acha kusita.siku hizi hawa tulionao mitaani ndio wanatoa papuchi kuliko mabar maid.
[emoji15] [emoji15] [emoji28] [emoji28]
 
Kuwa Bar Maid siyo cha kukufanya Umwogope. Sisi tunaofanya kazi vyuoni mpaka vyuo vikuu, wapo wasomi wa kike ni malaya ajabu, wanaume wengi mpaka amalize chuo. Wanawake wa Kichaga wengi wana malengo, hata kama ni Bar Maid, kuliko baadhi ya wasomi. Endeleza Upendo wa kweli kwake. Utamfahamu zaidi, na usishngae akawa Wife Material, the BEST.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…