DODOSO REFU
Member
- Sep 16, 2012
- 12
- 0
Ilikuwa kama utani mwaka 2005 nilipojikuta nipo ktk mahusiano.Hakika nilimpenda sana huyu msichana,alipata mimba mwaka 2007 na 2008 alijifungua baby boy.Muda wote huo alikuwa akiishi kwao na mtoto alipozaliwa waliishi naye nami nikitoa msaada unaotakiwa.Mwaka jana mama watoto wangu alienda chuo na nikagundua alikuwa na mahusiano na mtu.Nilipohoji akaniambia tuachane nilikataa baada ya muda akalazimisha kwa kufunga simu yake nami nikaona nikae pembeni nimuache aendelee anachofanya.SASA MTOTO ANA MIAKA 4 NATAKA KAA NAYE ILI NISIMAMIE MAISHA YAKE MAPEMA MAANA MAMA YAKE ANASOMA MKOANI HIVYO MTOTO HUBAKI KWA NDUGU .NILIPOMWAMBIA MAMA MTU AKAKATAA.KWA KWELI NAMPENDA SANA MAMA MTOTO WANGU KWANI NAAMINI MALEZI BORA YA MWANANGU YATATIMIA NATAMANI HATA KUROGA.JE NIFANYEJE WANA JAMII?