Nimezaa na mke wa Mtu

Kwa usalama wa maisha yako sahau huyo mtoto na sahau kama ulilala na huyo mwanamke. Ukijifanya kiherehere na connection ya mtoto utahatarisha maisha yako na ya huyo mpenzi wako.
Kumbuka hakuna mwanamme atayekubali mkewe kukojolewa na mwanamme mwingine.
Yaani unacheza na moto wewe!
 

hili jambo watu huwa hawalizingatiiii sana hasa wakikutana watu wazima......ila hii inaonyesha kiasi gani DUME KONDOMU wanasafari ndefu na kampeni zao
 
Mkuu,Mwanamke ndiye anaeweza kujua mimba ni ya nani.....Kwangu mimi naona hana sababu ya kunidanganya kwamba mimba yangu na wakati si yangu.....Ila ana sababu ya kumdanganya mumewe


Wakulu, hapo suala si kuhoji amejuaje...!!

Hii kitu inafikirisha sana... mtu ana watoto tayari na bado anataka kuzaa nje...kisa AMEKUPENDA...

" ....nimekupenda nataka nikuzalie..."
 
------- kabisa...peleke ujinga wako huko fb.
 
Hufai kusamehe wewe kwa unyama uliomfanyia mwanaume mwenzako.
 

Tindikali inahusu!! by the way how sure ur ni mtoto wako?
 
Kenge mno...yaani huyo mke nakuachia lasivyo ni pemkeo naye nimpige dudu...
 
Subiri positive comments kwa wazinzi wenzako!
 
Mimi nahisi hauko makini na maisha yako. Mnaweza kuachana na msichana tanguvsekondari halafu ufanye naye bila kinga?
kinachokuumiza kichwa hadi ukusudie kuua kiumbe kisichokuwa na hatia ni nini? Umeshasema mama yake yuko vizuri nakushauri uachane na hilo la kuua/kutoa mimba kabisa kwani utakuja kuijutianmilele.

Acha maisha ya songe ila kumbuka, wanaume wenzako hawaendi hivyo, utakufa kwa ngoma! Ukipewa wewe usifikiri ni wewe peke yako, umeshajiunga Kwenye mtandao hivyo......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…