Nimezaa na mke wa mtu

Nimezaa na mke wa mtu

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,850
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue
 
Mhm yaani wee wataka jipa majukumu tena...wacha ----- aendelee kalea huko
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue

Yaani mpaka mnavuliana nguo hakukwambia ni mke wa mtu? ukitaka kushauriwa usipende kuficha!!

....nenda kamwambie mumewe kuwa mtoto si wake ni wako!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Nenda hadi kwa mumewe home kwake kisha mchukue mtoto mwambie ulizaa na mkewe mkiwa chuo.

Eti mtoto ni mzuri sana, maana ungekuta mtoto mbaya usingetaka kumchukua, we fatilia tuu ndoa ya watu kama hujazalishwa shauri yako.
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue

Afadhali ya Mussa kuliko ya Firauni!
 
  • Thanks
Reactions: awp
Unatafuta kuivunja hiyo ndoa sasa!! Yaani mtoto unataka kumchukua?? Na mumewe MLIYESHIRIKIANA na MKEWE kumhadaa ataambiwa nini mtoto akiletwa kwako??? Kazi kweli kweli
 
Tafuteni wa pili achkue mmoja na wewe mmoja kila mtu akamate hamsini zake kiroho safi
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue

Mhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
unaitafuta tindikali, na hivi nchini kwetu inauzwa kama njugu shauri yako
 
Umchuke mtoto umpeleke wapi sasa? huyo mtoto si wako broda. Kama kweli unampenda huyo mama, achana kabisa na hiyo biashara ya mtoto
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue
Wewe hamnazo kweli!unatafuta kifo au kilema cha maisha.kwa waafrika huyo mtoto si wa kwako ni wa mume wake wa ndoa,kumbuka kitanda hakizai haramu!imekula kwako mazima
 
48% za DNA test ni za kweli, duh! Ukapiga kavu kavu kaka, na mwenye mali nae akija weekend analamba?

Tutapona na ukimwi kweli?
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue

hivi wewe wakati ana mimba,what did you do!!!!!

you see the kid and all over the sudden you want to take the kid!!!

you want to take the kid because is cute or because you want to take
the responsibilities as a dady that you didnt play!!!!!!!!
 
Wewe dogo aliyekuambia huyo mtoto ni wa kwako nani? Au umemuona mzuri unadhani mume wake hawezi kuzaa mtoto mzuri? Halafu bado katika kipindi hiki unatembea na mwanamke uliyekutana naye chuo bila kinga? Kama unataka kumsaidia huyo mwanamke matunzo ya mtoto kama mpenzi wako wa zamani msaidie lakini hilo la kumchukua huyu mtoto nakushauri ukajadiliane na mume wake pengine anaweza kukuruhusu!
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue

Una uhakika gani kuwa huyo mtoto ni wako kweli? Kwanini nisiamini kuwa umeambiwa hivyo ili uweze kuchangia hela ya malezi ya mtoto kwa tukio ulilofanya? Unajua changamoto na adhabu ya aliyezaa na mke wa mtu? Inawezekana mke wa mtu akabeba mimba kirahisi hivi kwa mwanaume mwingine na bila woga azae bila kufikiria madhara baada ya kujifungua? Naam, inawezekana kwa wenye vichwa vigumu, ok ukianzisha fujo na kupimwa DNA na kugundulika mtoto si wako?
 
Wakuu pasipokujua niliazisha uhusiano na mke wa mtu tukiwa chuoni,mpaka kupelekea kumpa mimba ndipo nilijua kuwa ni mke wa mtu kwani aliamua kuniweka wazi, sasa jana nimekutana nae akiwa na mtoto kwa kweli mtoto ni mzuri sana nifanyeje ili nimchukue

mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa ni mtoto wa mama,huna mtoto hapo,kama ulitaka tujue umemlala mke wa mtu sawa
 
Back
Top Bottom