Karibu sana angalao tufahamiane, Mr Rocky alishakukukabidhi kwangu, Shahidi ni Ndugu mwandishi kiwatengu na mke wake huyu mpya.. anaitwa nani tena vileee.. naniiiii.... hewala miss chagga.
Nimekumisi pia Dena Amsi, I ve dreaming of this day.
Ntapitiamo tumahidi tuwili nkachemshe leo.. nna hamu mieeee!!!
Karibu sana angalao tufahamiane, Mr Rocky alishakukukabidhi kwangu, Shahidi ni Ndugu mwandishi kiwatengu na mke wake huyu mpya.. anaitwa nani tena vileee.. naniiiii.... hewala miss chagga.
Nimekumisi pia Dena Amsi, I ve dreaming of this day.
Ntapitiamo tumahidi tuwili nkachemshe leo.. nna hamu mieeee!!!
kiwatengu mbona mbea sana wewe
Karibu my wife wangu kipenzi cha roho yangu nilikumissije aise
Yaani hapa nina furaha debe kukuona tena my wife wangu
Achana na akina kiwatengu na
mwekundu na Tized na
Ntuzu, mwallu,
Khantwe, Honey
Faith, miss chagga,
Mentor, Mndengereko
hawana sera hao
Watakuambia uwongo mwingi ila ni mimi na wewe tuu mpaka kufa
Nakupenda sana my dear wife wangu
Karibu tena nyumbani mamii. Hebu niambie.Huko Dareda bei ya mahindi gunia moja ni kiasi gani?Jamani hamjambooooooooooo.....
Nilikuwa porini navuna mahindi network hakuna nimerudi mjini sasa.
Muwe na siku njema wote.
Nawapenda.
DA
ushapoteza patano tokea mwanzo.
ngoja tumweleze Dena Amsi kila kitu afu mwenyewe atapima.
braza hapa umepoteza,just sticky with ur miss chagga mchunane vya kutosha.
ndo wewe huyu huyu,?? uliekuwa umekuwa zoba kwa miss chagga? umebadilika ghafla
wera weraaaaaaaaaaaa....
karibia kwa miguu yote saba!!
wapi Mr Rocky na mke wake aitwae miss chagga?
kiwatengu mbona mbea sana wewe
Karibu my wife wangu kipenzi cha roho yangu nilikumissije aise
Yaani hapa nina furaha debe kukuona tena my wife wangu
Achana na akina kiwatengu na mwekundu na Tized na Ntuzu, mwallu, Khantwe, Honey Faith, miss chagga, Mentor, Mndengereko hawana sera hao
Watakuambia uwongo mwingi ila ni mimi na wewe tuu mpaka kufa
Nakupenda sana my dear wife wangu
Hiyo ndoa na miss chagga kaiapprove nani hapa
Ndoa yangu inayofahamika ni yangu na Dena Amsi mpaka kifo kitutenganishe
Hakuna cha kukabidhiwa hapa wala kushare na hakuna mke wa kushare hapa kiwatengu na Tized Dena Amsi ni mke wangu na kama nilichepuka kwa miss chagga ilikuwa ni mchepuko tuu ila ndoa haijavunjika
Mke wangu alisafiri muda mrefu ndo maana nikachepuka
dena yuko huru.
na ni vyema ukamwachia nafasi.
kama na yeye ataamua kufanya mchepuko its okay.
Ila what goes around comes around...
miss chagga loo..shake well the limbwata...ashaanza kukimbiaHiyo ndoa na miss chagga kaiapprove nani hapa
Ndoa yangu inayofahamika ni yangu na Dena Amsi mpaka kifo kitutenganishe
Hakuna cha kukabidhiwa hapa wala kushare na hakuna mke wa kushare hapa kiwatengu na Tized Dena Amsi ni mke wangu na kama nilichepuka kwa miss chagga ilikuwa ni mchepuko tuu ila ndoa haijavunjika
Mke wangu alisafiri muda mrefu ndo maana nikachepuka
miss chagga loo..shake well the limbwata...ashaanza kukimbia