Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Weee hao wengi jomoniii J,.me wawili tuuaisee.....we hawafiki hata wa5
Weee hao wengi jomoniii J,.me wawili tuuaisee.....we hawafiki hata wa5
BAHARIA MKULIMA ANATAKA AOMBE NAMBA, ATAPEWA?Weee hao wengi jomoniii J,.me wawili tuu
Mwambie Inna akupageBAHARIA MKULIMA ANATAKA AOMBE NAMBA, ATAPEWA?
Ndo list imeishia hapo kwenye nane tu ?Daaah, si wanajaa gari lakwenda kibaha.
Mtoto anaendeleaje kwanza😂Zawadi zawadi yangu, uwapi binti mweupe
Kipenzi wa roho yangu, kabinti mwenye mapepe
Na ahadi za kizungu, wacha ukweli nikupe
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Kwakuwa mwana sanaa, nitawataja kwa beti
Yameshapita masaa, simsahau Bahati
Alojiona staa, ameolewa BABATI
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Felista wa kiburi, leo nimekukumbuka
Nilikwisha kukariri, dakika umeshawaka
Ni binti ulo na siri, mtoto ukanibambika
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Halima mke wa mtu, ila nilikukoleza
Kamwe hukutaka katu, kabisa kunipoteza
Ulinipa vingi vitu, kwa kule kukukojo,,,,
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Wapi FATUMA chibonge, tipwa tipwa uteteme
Uliiruka senyenge, kisa mimi mwanaume
Kwa sasa upo Kijenge, nasikia una mume
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Mtoto wa mchungaji, Beatha sikusahau
Tulipokuwa Kimbiji, enzi zetu za pilau
Mwisho nakujisha uji, Muhuni kapanda dau
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Sikusahau Anita, uliye nizidi umri
Miaka kumi na sita, ila wewe ni hodari
Wanakwita mama Peter, au tena ma- Johari
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Penzi langu liliyumba, kwako dada Mwantumu
Kisa ni zangu KASUMBA, kwakweli sikulaumu
Ulilea yangu mimba, japo kigumu ugumu
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Maisha hubadilika, ulipo leo si jana
Leo niliwakumbuka, mademu tulonyengana
Ilishapita miaka, basi hapa natuwama
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
By: Mzee wa Kasumba
jamani mie sio mshairi, bado najifunza. NAOMBA KUKOSOLEWA (MALENGA)
sawasawa BABY SHEMMwambie Inna akupage
Uuuuuwwwiii wewe NN lol,.tungetajiwa hadi ile loji ya kibaigwa😂
Nimeishia kuhesabu kwenye 14. Uki-Update list utanitag mkuu.Tinna (Wa kwanza na uliniambukiza ugonjwa wa zinaa, barikiwa)
Janet (Yo tha baddest ma'am..ulinipenda nikaharibu mwenyewe, ulinifumania Mara mbili na hiyo ya pili ukaamua kuondoka mazima. Still sijapata mbadala wako)
Paskalia (kuna watu wanasema wamekutana na ma slay queen, wanatania hawajakutana na wewe)
Rhoida (Ulinipenda nikakufanya side chick, that love was real... Sorry)
Uria (sasa kwanini uliamua kuolewaa ukaniacha?)
Marry (1)(Rest in peace ma'am...bado naenda zile sehem tulikua tunaenda pamoja..siku hizi TAZARA pale wanakataza kukaa idle)
Prisca (Kuna watu wanadanga ila wewe ni konyoo, nimekunyooshea mikono)
Vaileth (We falaa Usingetoa mimba yangu ningekua na chalii mwenye miaka mitatu saiv)
Marry (2) (Asante kwa kunitunuku usichana wako, najua sikufanya makosa)
Oda (We mngoni unajuaa sana)
Regina (That p_ssy of yoz sijui uliweka asaliii??)
Zaituni (Wahuni walikua wanakuita Zaitobo, kweli ulijua kukitembezaa)
Moreen (Wazazi tuu hawakutaka uwe na Mimi, ila tulipendana sana)
Halima (Ukiacha kutokujitambua utakua mtoto mzuri sana)
Nitarudiii
Weka na ile swimming pool😂
Doh!Tinna (Wa kwanza na uliniambukiza ugonjwa wa zinaa, barikiwa)
Janet (Yo tha baddest ma'am..ulinipenda nikaharibu mwenyewe, ulinifumania Mara mbili na hiyo ya pili ukaamua kuondoka mazima. Still sijapata mbadala wako)
Paskalia (kuna watu wanasema wamekutana na ma slay queen, wanatania hawajakutana na wewe)
Rhoida (Ulinipenda nikakufanya side chick, that love was real... Sorry)
Uria (sasa kwanini uliamua kuolewaa ukaniacha?)
Marry (1)(Rest in peace ma'am...bado naenda zile sehem tulikua tunaenda pamoja..siku hizi TAZARA pale wanakataza kukaa idle)
Prisca (Kuna watu wanadanga ila wewe ni konyoo, nimekunyooshea mikono)
Vaileth (We falaa Usingetoa mimba yangu ningekua na chalii mwenye miaka mitatu saiv)
Marry (2) (Asante kwa kunitunuku usichana wako, najua sikufanya makosa)
Oda (We mngoni unajuaa sana)
Regina (That p_ssy of yoz sijui uliweka asaliii??)
Zaituni (Wahuni walikua wanakuita Zaitobo, kweli ulijua kukitembezaa)
Moreen (Wazazi tuu hawakutaka uwe na Mimi, ila tulipendana sana)
Halima (Ukiacha kutokujitambua utakua mtoto mzuri sana)
Nitarudiii
kwahiyo ni wengi sana waliokula papuchi yako mpaka wajae ndege kubwa yote ileSijui nianze na yupi hahaha ila baba mchungaji ndio mwisho wa matatizo,.woii maana nikiwataja hapa naweza kujaza air force one jomonii
hatariTinna (Wa kwanza na uliniambukiza ugonjwa wa zinaa, barikiwa)
Janet (Yo tha baddest ma'am..ulinipenda nikaharibu mwenyewe, ulinifumania Mara mbili na hiyo ya pili ukaamua kuondoka mazima. Still sijapata mbadala wako)
Paskalia (kuna watu wanasema wamekutana na ma slay queen, wanatania hawajakutana na wewe)
Rhoida (Ulinipenda nikakufanya side chick, that love was real... Sorry)
Uria (sasa kwanini uliamua kuolewaa ukaniacha?)
Marry (1)(Rest in peace ma'am...bado naenda zile sehem tulikua tunaenda pamoja..siku hizi TAZARA pale wanakataza kukaa idle)
Prisca (Kuna watu wanadanga ila wewe ni konyoo, nimekunyooshea mikono)
Vaileth (We falaa Usingetoa mimba yangu ningekua na chalii mwenye miaka mitatu saiv)
Marry (2) (Asante kwa kunitunuku usichana wako, najua sikufanya makosa)
Oda (We mngoni unajuaa sana)
Regina (That p_ssy of yoz sijui uliweka asaliii??)
Zaituni (Wahuni walikua wanakuita Zaitobo, kweli ulijua kukitembezaa)
Moreen (Wazazi tuu hawakutaka uwe na Mimi, ila tulipendana sana)
Halima (Ukiacha kutokujitambua utakua mtoto mzuri sana)
Nitarudiii
wait ............Hebu nione atakayetaja jina kama langu
PamojaNimeishia kuhesabu kwenye 14. Uki-Update list utanitag mkuu.
Ungejaziwa nzi eehhh....We ningekutaja humu ingekuwa balaa
We alwatani unajuaa😂😂😂Ungejaziwa nzi eehhh....