Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

Asante kwa ushauri sitokaa nifanye kosa la kwenda ustawi was jamii sina shida ya hela Nina kipato cha kunitosha kumlea mwanangu nilichohitaji kwake ni care tuu na kuwa responsible father kwa kuwa hayuko tayari basi asimsogelee mtoto hata atakapozaliwa
 
Kosa lako kuanza mapenzi tena bila kondom kabla ya ndoa, majuto mjukuu
jiulize we umefanya Mara ngapi nipisheeee[/QUOTE]
Kwan wew hili kosa ndo unalisikia kwa uyu dada Tu we mwenyewe ni mmoja wao acha kumnyooshea mwenzio kidole
 
Kuchukia ni hali tu ya kusaikolojia! Has a kutokana na magumu unayopitia vumilia piga moyo konde jidhatiti mwanamke maaa hata usingekimbiwa siku hiz Bongo Mario wengi hawajiwez kwa chumvi wala sukari ya uji, assume tu uyo kaka kafa (yes kafa) concentrate kwenye maandalizi ya kiumbe kijacho achana na mawazo ya ustawi wa jamii mimi naona ni usumbufu tu as far as una kazi naamini hutoshindwa kumuhudumia kijacho wetu japo utakutana na magumu zaidi ya hayo ila amini unaweza hivyo tu
 
Pole sana ni baadhi ya wanaume tu ndiyo hawajitambui kwenye majukumu yao muhimu. Kila la heri na baraka tele kwenye kujifungua na malezi ya kiumbe mtarajiwa.

 
Hata ukituchukia haitusaidii mana hatuli kwako..ungeomba ushauri ingekuwa busara zaidi
 

Kwanini nyie wanawake hamfungi miguu yenu mpaka mkajua ni aina gani ya mwanaume unaye husiana. Yani condom huko utafikiri zina thamani ya zahabu. Hili umejisababishia mwenyewe hamna aliyekulazimisha ulale naye. Wanaume wote kwani haukujua wanataka ngono alafu wanakuacha. Yani hii ndiyo biologia ya mwanaume ni kutaka kusambaza mbegu yao tu. Nyie wasichana wakitanzania bado hamjaelewa kwamba mwanaume ukimpa anachotaka bila mkataba wa ndoa atakuacha. Hili liwe mfano kwa wenzako. Aidha mtumie kinga au mfunge miguu yenu.
 
Nilifanya hili nikiwa na akili timamu and I was ready for that so sioni tatizo u was free with ma soul since I was need a kid. Lisikupe shida hilo nikitaka tuu my kid awe na malezi ya pande zote!!!!!
 
Duh pole sana haikuwa bahat yako labda maana haya mambo cyo ya kulazimisha huwa yanaenda outomatic
 
Kwahiyo unamchukia hadi Mungu/Yesu maana nae ni mwanaume.
 
Mungu atakusaidia! maana ya ustawi ni hata kama kapata Ashura mwingine anamtema make tayari we unanembo!
 

kwa hiyo umeamua kunianika huku ili kupunguza hasira au,nasubri mwanang akikua nije nimchukue,malezi mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…