Nimevumilia nimeshindwa, bora nioe!

Nimevumilia nimeshindwa, bora nioe!

1. Usioe kwasababu ya sura
2. Jua familia yake ikiwezekana
3. Chunguza mahusiano yake na ndugu zake, jirani na marafiki kama ni mazuri au la
4. Usibabike kupita kiasi kwa kumpa zawadi nyingi, vocha etc
5. Chunguza uwezo wake wa ujasiriamali
6. Chunguza kama mambo ya kiroho anayaona ni ya muhimu ktk maisha yake ya kila siku na anajitahidi kuyaishi
7. Asiwe mpenda ofa, awe tayari kutoa zawadi.
8. Awe flexible, aliye tayari kuishi maisha ya kawaida.

hakika.,
 
Ze keke,
Ukweli ni kwamba Mwanamke yeyote ambaye utaamua kuwa nae lazima tuu kwa kiasi fulani huko maishani atakuumiza hivyo usiogope kuumia kwa kuwa kuumia ni lazima. unachopaswa kufanya ni kutafuta mwanamke ambaye anastahili kwa wewe kuumia juu yake.
Habari za usiku humu jamnvini, baada ya kuvumilia kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na kuuliza maswali mengi humu jamvini kuhusu mapenzi, sasa nachukua uhamuzi wa kuoa! Tatizo mke mwema ntamgundua vipi? Maana wanawake wakijua unataka kuoa hawaishi kufake .Aisha yao!
 
Ze keke,
Ukweli ni kwamba Mwanamke yeyote ambaye utaamua kuwa nae lazima tuu kwa kiasi fulani huko maishani atakuumiza hivyo usiogope kuumia kwa kuwa kuumia ni lazima. unachopaswa kufanya ni kutafuta mwanamke ambaye anastahili kwa wewe kuumia juu yake.

sijakuelewa,ila napingana na hoja yako,hatuingii kwenye uhusiano ili tuumizane,unaleta dhana mpya,labda uje na hoja kuntu
 
Habari za usiku humu
jamnvini, baada ya kuvumilia kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na kuuliza
maswali mengi humu jamvini kuhusu mapenzi, sasa nachukua uhamuzi wa
kuoa! Tatizo mke mwema ntamgundua vipi? Maana wanawake wakijua unataka
kuoa hawaishi kufake .Aisha yao!
Ndugu aijalishi una Imani gani,Muombe Mungu sana juu ya hilo kwa ajili ya Mke mwema na mcha Mungu.Na hakika Mungu atakupa wa kufanana nawe uje utupe ushuhuda ukimpata.
 
Ndugu aijalishi una Imani gani,Muombe Mungu sana juu ya hilo kwa ajili ya Mke mwema na mcha Mungu.Na hakika Mungu atakupa wa kufanana nawe uje utupe ushuhuda ukimpata.

Nashukuru ndugu!
 
1. Usioe kwasababu ya sura
2. Jua familia yake ikiwezekana
3. Chunguza mahusiano yake na ndugu zake, jirani na marafiki kama ni mazuri au la
4. Usibabike kupita kiasi kwa kumpa zawadi nyingi, vocha etc
5. Chunguza uwezo wake wa ujasiriamali
6. Chunguza kama mambo ya kiroho anayaona ni ya muhimu ktk maisha yake ya kila siku na anajitahidi kuyaishi
7. Asiwe mpenda ofa, awe tayari kutoa zawadi.
8. Awe flexible, aliye tayari kuishi maisha ya kawaida.

fuata ushauri wa huyu
 
1. Usioe kwasababu ya sura
2. Jua familia yake ikiwezekana
3. Chunguza mahusiano yake na ndugu zake, jirani na marafiki kama ni mazuri au la
4. Usibabike kupita kiasi kwa kumpa zawadi nyingi, vocha etc
5. Chunguza uwezo wake wa ujasiriamali
6. Chunguza kama mambo ya kiroho anayaona ni ya muhimu ktk maisha yake ya kila siku na anajitahidi kuyaishi
7. Asiwe mpenda ofa, awe tayari kutoa zawadi.
8. Awe flexible, aliye tayari kuishi maisha ya kawaida.

Umenena mambo ya busara ila huwa najiuliza hivi sie wanaume huwa hatuna matatizo? inaelekea katika suala la ndoa wanaume ni pessimist wakati wanawake wao ni optimist maana mke mwema huwa inajadiliwa sana kuliko mume mema kiasi inajenga picha wanawake wao wapo tayari kwa lolote litakalotokea kwenye ndoa (nawaza tu kwa maandishi mkuu)
 
Eti kwa kuwa anaulizwa sn!! kweli unaoa kwa sabbu hiyo? au umri umetimu? na ni upi umri sahihi wa kuoa ama kuolewa?
 
Umenena mambo ya busara ila huwa najiuliza hivi sie wanaume huwa hatuna matatizo? inaelekea katika suala la ndoa wanaume ni pessimist wakati wanawake wao ni optimist maana mke mwema huwa inajadiliwa sana kuliko mume mema kiasi inajenga picha wanawake wao wapo tayari kwa lolote litakalotokea kwenye ndoa (nawaza tu kwa maandishi mkuu)
Mkuu uko sawa, kwa wakristo maandiko yanasema Mume ampende sana mke wake kama yeye mwenyewe wakati huohuo mke anatakiwa kumtii sana mume wake. Mwanaume hajaambiwa amtii mke wake, maybe wanaume wanatumia that loophole...
 
Time is your only weapon bro...hivyo tu ndivyo utavyoweza kumfahamu anayefaa na asiyefaa, fake na originial.

Zaidi ya hayo nikutakie kila la kheir, ni jambo zuri kuoa!
 
Mkuu uko sawa, kwa wakristo maandiko yanasema Mume ampende sana mke wake kama yeye mwenyewe wakati huohuo mke anatakiwa kumtii sana mume wake. Mwanaume hajaambiwa amtii mke wake, maybe wanaume wanatumia that loophole...
Okay mkuu
 
fuata ushauri wa huyu
Ushauri wa mimitungi umetulia, tatizo wengi hukukuzia kwanza mrembo kwa tamaa za kimwili then ndo uchunguzi unafanyika kujua kama anafaa kuwa mke au vipi. (ingekuwa wanakwenda kinyume chache ingekuwa poa zaidi kwani once unapokuwa karibu nae unakuwa una test vile viashiria vya mwanzo kabisa ambavyo vilikufanya umtokee
 
Last edited by a moderator:
Kwanza hongera lakini ujue kila ndoa inatengenezwa owa yeyote atakae kuvutia alafu sasa uanze kaz yakumrekebisha tabia ili awe mwema kama unavyowasifia wake wema nyumba nzuri ujenge ww
 
Mkuu kuchagua mke sio ujanja wala hakuna elimu, mwachie Mungu akuoneshe, nakutakia safari njema ila usiwe mwoga...
 
Jibu sio kununua nyumba iliojengwa inatakiwa ajenge yeye ujasili ya mali au kutokua mjasiliamali sio sababu zakuitwa mke mwema bado yapo mapungufu mbalimbali ambayo kwa kila binadam anaweza kua nayo
 
Duh kumbe bado una maswali nlidhani ushamaliza ss huu mjadala wa mke mwema utamjuaje mpk upate jibu utakua ushazeeka swahiba.
 
Back
Top Bottom