Ze keke,
Ukweli ni kwamba Mwanamke yeyote ambaye utaamua kuwa nae lazima tuu kwa kiasi fulani huko maishani atakuumiza hivyo usiogope kuumia kwa kuwa kuumia ni lazima. unachopaswa kufanya ni kutafuta mwanamke ambaye anastahili kwa wewe kuumia juu yake.
Point yako nmeipenda,ts so tru,MAHUSIANO YOYOTE YANA MATATIZO,no angels here,tunajaribu kuyapunguza tu
walu upate mrembo hv,msomi,mwelewa ,anajua kupika,good in bed nk,
sio unapata mtu hataa cha kumsifia hukioni,khah wa nini uyo
Ukisha mpata ununue na vidonge vya presha. Karibu sana kwenye majanga.
Hongera kwa uamuzi. Kila la kheri.Habari za usiku humu jamnvini, baada ya kuvumilia kwa muda mrefu ikiwa ni pamoja na kuuliza maswali mengi humu jamvini kuhusu mapenzi, sasa nachukua uhamuzi wa kuoa! Tatizo mke mwema ntamgundua vipi? Maana wanawake wakijua unataka kuoa hawaishi kufake .Aisha yao!
wanaume wengi wangetumia hii njia sidhani kama kungekuwa na migogoro ya ndoa mara kwa mara... Maumbile na mwonekano ndo umepewa kipao mbele huku wakijidanganya tabia itabadilika lah hashaushauri wa mimitungi umetulia, tatizo wengi hukukuzia kwanza mrembo kwa tamaa za kimwili then ndo uchunguzi unafanyika kujua kama anafaa kuwa mke au vipi. (ingekuwa wanakwenda kinyume chache ingekuwa poa zaidi kwani once unapokuwa karibu nae unakuwa una test vile viashiria vya mwanzo kabisa ambavyo vilikufanya umtokee
wanaume wengi wangetumia hii njia sidhani kama kungekuwa na migogoro ya ndoa mara kwa mara... Maumbile na mwonekano ndo umepewa kipao mbele huku wakijidanganya tabia itabadilika lah hasha
View attachment 132599 hiyo hapo
Hahahaaa! Nitake radhi miss chaga, hiyo picha ya miaka ya 1880s.
na me ndo nipo ivyo rafiki yangu[/QUOTE/]
Mhh, utakuwa mzee saa hivi aisee! Muonekano ni muhimu kwenye kuoana, mwanamke akiwa mzuri ni furaha kwa mwanajme!
ulikuwa na mpango wa kurusha ndoanona me ndo nipo ivyo rafiki yangu[/QUOTE/]
Mhh, utakuwa mzee saa hivi aisee! Muonekano ni muhimu kwenye kuoana, mwanamke akiwa mzuri ni furaha kwa mwanajme!
ulikuwa na mpango wa kurusha ndoano
Ingewezekana! Ni PM picha yako halisi!
Aaaaaaaaaah wapi! Oa mtu ambae una hisia nae BAAAAAAAAAAASS! Kama huna hisia na mtu hata awe na tabia gani utamchoka siku 2. USICHAGUE MKE KWA WOGA WA MAISHA.
Ingewezekana! Ni PM picha yako halisi!
naogopa mie