Nimevamiwa na kunguni

Kumbe maji moto ni dawa mzuri
Ila shughuli yake si ya kitoto, kingine yanawamaliza kunguni kutegemea na nyumba ilivyo kama kuna nyufa, hamna dari, nk hapo ni kutafuta dawa tu
 
Pia kuna ile ya kumix sabun ya unga na mafuta ya taa na chumvi laini japo mi bnafsi sijawahi itumia hiyo nilitumia diazon hiyo tatzo likaisha nasi
Hiyo diazon inapatika kwenye maduka gani?
 
Kuna basi flani (***) la Mbeya - Mwanza, ikifika mida ya usiku mnasafiri linaibuka jeshi la viroboto+kunguni, basi utasikia tu abiria wanajipiga makofi ya miguuni, migongoni..
mabasi ya Kanda ya ziwa Yana hao wadudu kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…