Fanya usafi wa kutosha then piga fumigation if possibleNimevamiwa na Jeshi la kunguni naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!!.
🤣🤣Nahusisha kunguni na uchawi wale wadudu kiboko pole sana mkuuNimevamiwa na Jeshi la kunguni naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!!.
911Nimevamiwa na Jeshi la kunguni naomba msaada nimejaribu dawa mbalimbali za kunguni bila mafanikio tafadhali naomba msaada ili niweze kupambana na jeshi hilo!!.
Nimezoea kusikia watu wamevamiwa na majambazi. Kumbe kunguni nao wanavamia watu? Hata wasafi![]()

We jamaa emb nifanye mpango wa kadi kwanza kesho isiwe siku ndefuAcha uchafu mkuu
Hall 1 UDSM BLOCK G mwisho wa maelezo.Hawa wadudu , nimewajulia hosteli .
Mara ya kwanza nilizani ni mbu wananiumaga usiku, ila baada ya siku kuinua godoro - nikakutana na rundo la wadudu wenye damu
Nilimwagia mafuta ya taa , makila aina ya dawa niloagiziwa - lakini wapi
Ikabidi nikimbie ile hosteli
Ahaa niko mkoa mkuuWe jamaa emb nifanye mpango wa kadi kwanza kesho isiwe siku ndefu
Ni Kweli mkuu, lakini tunawapata sehemu mbali mbali, kwenye madaladala, ukipumzika tu kwenye bench kariakoo unae, kwenye boat wapo kwenye mabasi ya mkoa wapo, hawa jamaa wapo very bright ataingia kwenye nguo bila kukuuma akitafuta sehemu salama ili akipata kiburudisho awe anapumzika katika security salama au angle safe kwake,infact ni kamdudu kenye akili lakini kepesi kukiua,Kunguni wanaletwa na uchafu.
Ni Kweli mkuu, lakini tunawapata sehemu mbali mbali, kwenye madaladala, ukipumzika tu kwenye bench kariakoo unae, kwenye boat wapo kwenye mabasi ya mkoa wapo, hawa jamaa wapo very bright ataingia kwenye nguo bila kukuuma akitafuta sehemu salama ili alipata kiburudisho awe anapumzika katika security salama au angle safe kwake,infact ni kamdudu kenye akili lakini kepesi kukiua.