Nimeungana na Watibeli

Nimeungana na Watibeli

Naomba muongozo wa kujiunga na hilo chama.

Hilo chama ni chama la kujitambua,
Kumtambua Mungu,
Kujipenda na kumpenda Mungu.

Kulinda na kuzipenda Baraka zako ulizopewa haijalishi wengine wanaziona ndogo kiasi gani.
Baraka ya afya, Baraka ya Kazi, Baraka ya mali, Baraka ya Familia yaani mke na watoto

Lakini Jambo lolote ambalo lilikuja kama Baraka lakini linahitaji gharama ya heshima yako, kumkosea Mungu, kujikosea, hiyo Baraka tunai- cancel mapema bila kufikiri mara mbilimbili.

Hizo mi tips chache za Utibeli
 
Back
Top Bottom