Nimeumbuka

Huu mwezi ukifika inatakiwa uhuruke
 
Wewe ni Moja ya Great thinker Mkuu.

Nilitegemea watu Kama ninyi mnaojua kuchambua na kuhakiki mambo Kama haya.

Ahsante kwa ushauri
 
Hakuna ujinga mkubwa kama kupigana sababu ya mwanaume, ona sasa walipigana mwisho wa siku mwanaume mwenyewe keshakimbia!! Inauma lakini kupigana ni kujichoresha tuu
Kwa kweli ni aibu. Alafu ni watu ambao hawajaalikwa.
 
Hiyo inadhihirisha ni namna gani ulivyo Malaya, aibu hiyo umejitakia! Angekuja na huyo uliyemsema kuwa ni mpenzi wako wa Mwanza, cjui hali ingekuwaje! Jiulize then take action! Nyambafuu!
Ahsante Sana.

Aibu iliisha saa 12 nilifika kwenye sherehe. Huko ndipo Nilisahau habari za Mlimani City
 
Tushajua unaishi na ma miss na watu wenye maisha poa na warembo
Ushajua na nani?

Usipende kutoa maoni yako kwa kujumuisha na wengine. Ni Moja ya dalili ya mtu asiyejiamini.

Hata hivyo nayo ni maoni yako. Hivyo ahsante kwa kuhusika
 
Hakuna ujinga mkubwa kama kupigana sababu ya mwanaume, ona sasa walipigana mwisho wa siku mwanaume mwenyewe keshakimbia!! Inauma lakini kupigana ni kujichoresha tuu
Mwengine walipotezana muda tu alipoenda kusoma Australia. Mwengine haieleweki alikua wapi. Walipigana kwa lipi hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…