Nimeumbiwa moyo mpweke

Nimeumbiwa moyo mpweke

Hongera sana maana una moyo wa kipekee. Hadi umempangishia nyumbaaa? Very exceptional
 
Kwa kweli kumpenda mtu juu juu huwa siwezi ndio maana akijua Nmpenda ananiendesha atakavyo
 
Hili tatizo nikubwa walio wengi wamejawa na tamaa ndio mahaana wanashindwa kuwa waazi endelea kumuomba mungu akufanyie wepesi mm mwenyewe ni muhanga katika hili lakini uwa nawaacha wanaenda zao natambua kuwa awawezi shinda kamwe kuzitimiza tamaa za mwili wao
 
Lazma utakua mtu flani mpole mpole sana af decent watu kind hii wanakuaga wanaboa kuwa nao, sio watamu....ila bad boys oooshhh ni Zaid ya watamu , pole jifunze kuwa "bad boy" ukishindwa basi subiri tu bwana atatenda muujiza atakuletea sister maria wa kafanana na wewe pole sana
 
Utakuwa na tatizo flan mkuu. Jitafakari thn ujirekebishe au uwe unamsoma kwnz dem yukoje na anataka nini.
 
Utakuwa na tatizo flan mkuu. Jitafakari thn ujirekebishe au uwe unamsoma kwnz dem yukoje na anataka nini.

Anataka nini wakati anacho kitaka anapata sasa labda kutembea na staff mwenzake ndo alicho kuwa anakitaka hadi kafanikiwa
 
Lazma utakua mtu flani mpole mpole sana af decent watu kind hii wanakuaga wanaboa kuwa nao, sio watamu....ila bad boys oooshhh ni Zaid ya watamu , pole jifunze kuwa "bad boy" ukishindwa basi subiri tu bwana atatenda muujiza atakuletea sister maria wa kafanana na wewe pole sana
Aisee kumbeee
 
Wanajamvi najishangaa sana hapa nilipo kila ninayempenda mwisho ananiacha bila kosa huyu wa sasa ndio kabisa yani nmempangia na nyumba anapo kaa lakini niwiki sasa tangu aniache nakusema yeye anataka kuwa single Lakin bado anakaa kwenyenyumba niliyo mpangishia sina raha kabisa sielew nifanyeje hata msosi haupandi

Endelea hivvyo hivyo kwa siku kumi kisha unitafute!!
 
Pole mkuu, hizi ni changamoto za maisha. Kupendwa usipopendwa ni jambo la kawaida, cha msingi usitumie mda mwingi kuilaumu nafsi yako ilhali hukujua kama ni chaguo lako. Endelea na maisha yako ya kawaida ipo siku utampata mtu sahihi kwako.
 
hao dawa yao ni kuwatia mimba tuu mkuu so hata akikuacha lakini hatokusahau
 
Back
Top Bottom