FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Shemeji yetu mkali ile mbaya SIPO unajua kuchagua....daaaaaaaaamn u gat test dude
hahaha wewe mbona unamsifia sana shemeji yako kulikoni??
Shemeji yetu mkali ile mbaya SIPO unajua kuchagua....daaaaaaaaamn u gat test dude
FL1 kumbe nawe umeliona hilo? Na mie naanza pata wasiwasi hapa!hahaha wewe mbona unamsifia sana shemeji yako kulikoni??
hahaha wewe mbona unamsifia sana shemeji yako kulikoni??
Sasa wewe umemjuaje? Mbona bado hatujatambulishwa mpaka geti tugeza ijayo?Usihofu, mimi nina appreceate sn vitu vizuri,
Sasa wewe umemjuaje? Mbona bado hatujatambulishwa mpaka geti tugeza ijayo?
Usihofu, mimi nina appreceate sn vitu vizuri,
FL1 kumbe nawe umeliona hilo? Na mie naanza pata wasiwasi hapa!
mie nakwambia ZD hawa mashemeji hawa lol ...
Sasa wewe umemjuaje? Mbona bado hatujatambulishwa mpaka geti tugeza ijayo?
Hahaha! Kizuri kula na nduguyo bana!
Jamani nimetunukiwa penzi, karibuni kwenye get together nitamtambulisha rasmi kipusa wangu kwa wapwa na mabinamu chini ya uangalizi wa Bwana Nguli na Bwana Fidel80.
Una maanisha nini? mashem ruksa?
hahahahahhata kwako. Narudia kwako pia ni ruksa tafadhali. !
Siyo kwako. Narudia SIYO KWAKO tafadhali. Patakufa mtu hapo!
Dah tunafrahi sana sasa usiishie kumega tu fanya kweli mpaka harusi wapwa tuje tureke ruke kwenye sherehe.