PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
usilipe kisasi
maana kisasi ni juu ya bwana .
usilipe kisasi
maana kisasi ni juu ya bwana .
ndiyo mwafanyaga!Ongea na hous girl wake kama yupo au tafuta panya road mmoja au mkata kucha.
Nakipenda sana kile kipande alichoimba mavoko kinachosema "wanangu wa panya road"
Wadau Wenzangu Wa Mambo Ya Jadi Nimepitapita Maeneo Flani Nimetumwa Nguo Yake Chafu Yenye Jasho Nitaipataje Maana Nitahangaika Nae Miaka Na Miaka Mpaka Akione Cha Mtema Kuni.Sitakubali Kushindwa.
Mtume mkeo akagegedwe, halafu aondoke na pichu ya huyo jamaa!!Njoo Inbox
Achana na ushirikina wa kijinga - kuweka visasi na wivu ni kujiiumiza mwenyewe tu. Tumia nguvu zako kwa kijiendeleza kijamii, kielimu, kiuchumi n.kWadau Wenzangu Wa Mambo Ya Jadi Nimepitapita Maeneo Flani Nimetumwa Nguo Yake Chafu Yenye Jasho Nitaipataje Maana Nitahangaika Nae Miaka Na Miaka Mpaka Akione Cha Mtema Kuni.Sitakubali Kushindwa.
....mbaya sanaaa.Umasikini Bwana....