Watu mtaendelea kupigwa mpaka mwisho wa dahari.Nimetumiwa sms kutoka taesa kuwa nimechaguliwa idara ya huduma za uangalizi, Naomba kujua hii idara ina deal na nn Wana jf
Nimetumiwa sms kutoka taesa kuwa nimechaguliwa idara ya huduma za uangalizi, Naomba kujua hii idara ina deal na nn Wana JF?
Hawajakutumia jina la ofisi ambayo hiyo idara ipo?Nimetumiwa sms kutoka taesa kuwa nimechaguliwa idara ya huduma za uangalizi, Naomba kujua hii idara ina deal na nn Wana JF?
Uliwahi kuona dunia gani kitu hujaaply halafu unaambiwa umechaguliwa?Afu mm sijataka kujua kama napigwa au la! Nahitaj kujua kuhusu hyo idara bro mbona watu mliopo kwenye system mnazingua Sana sisi ndo kwanza tunatafta at
Kama hujui jambo bora ukae kimya kuliko kutoa majibu yasiyo na maana wala uhusiano, huijui Taesa kaa kimyq utaonekana wa hovyo aisee!Uliwahi kuona dunia gani kitu hujaaply halafu unaambiwa umechaguliwa?
Wana tofauti gani na tatu mzuka namba yako umeshinda droo ya kushindania million 10? Tuma sms kwenda namba........
Hapa kinachotafutwa ni hiyo senti yako ya SMS, wakiwapata wajinga million 1 tu wanatembelea tako la nyani.
Kule Taesa unajisajiri halafu uklnaka unatulia siku ya siku wao wanapitia file yako wakipata nafasi wanakuita kwa sms au simu au email,mwandishi hajakata kazi kauliza hiyo idara unahusiaka na nini ?Nyendo zako zinaonekana sio sahihi kabisa. Aisee kuna watu wanatafuta kazi za kweli wewe unafanya masihara.
Inabidi wakutumie nyingine ya kusitisha. Inawezwkana vipi usijue unachoenda kukifanya huko wakati kazi umeomba mwenyewe?
Unaweza kuwakosesha wenzako ajira kwa masihara kama haya. its not fair.
Kirefu chake nin??Nimetumiwa sms kutoka taesa kuwa nimechaguliwa idara ya huduma za uangalizi, Naomba kujua hii idara ina deal na nn Wana JF?
Mkuu nenda ofisi zao kwa maelezo zaidi.Kule Taesa unajisajiri halafu uklnaka unatulia siku ya siku wao wanapitia file yako wakipata nafasi wanakuita kwa sms au simu au email,mwandishi hajakata kazi kauliza hiyo idara unahusiaka na nini ?
Sasa kosa lake liko wapi mkikosa majibu mnatafuta majibu yenu ili muonekane mnajuwa kila kitu.
Kirefu cha nn mkuu?Kirefu chake nin??
TaesaKirefu cha nn mkuu?
Google mkuu.Taesa
Anamaanisha idara ya uangalizi kuangaliwa kama una kibunda wajanja wakuleFafanua cjakuelewa tutapigwa na taesa au
Ww ni aina ya watu wale waanao ona gere wenzao wakifanikiwa!Anamaanisha idara ya uangalizi kuangaliwa kama una kibunda wajanja wakule
Mafanikio ya sms tu dogo?Ww ni aina ya watu wale waanao ona gere wenzao wakifanikiwa!
Wewe hata TaESA huijui halafu unaongea sana utadhani wewe ndo mkurugenzi.Mafanikio ya sms tu dogo?
Hauko siriaz hata kidogo.
Kusaka mshahara wa bongo mao mafanikio?
Kua uyaone