😀Picha please!
Habari zenu Wakuu,
Nimetongoza Mwanamke anaecheza Judo anachonifanyia sasaivi najuta.
NAENDA POLISI SASAIVI KUANDIKISHA JARADA LA KUPIGWA NA HUYU MSHENZI.
USHAURI
Wanaume wenzangu Usimtongoze Demu usiemjua.
Mkuu kanipokonya simu.Picha please!
Dah! Mkuu hauna huruma kabsa.Hongeraa!😄
Hii ni chai ya hovyo.
Mkuu huwezi kunielewa, huyu mwanamke leo namuitia polisi.Yaan unapigwa na dem mkuu afu unakuja kulialia humu
JF imechafuka haswa na vijana wa hovyo wanaodhani ni fb Pro max
Hapa unareply kupitia nini?Mkuu kanipokonya simu.
Sawa Mkuu, ngoja yakukute naww ndio utanielewa.Hii ni chai ya hovyo.
Usingeambatanisha picha nzuri namna hiyo, chai classic.
Hii ni chai mbovu. Haina tangawizi, imewekwa kwenye kikombe kichafu.
Hii ni Masambu
Maisha hayapo hivyo Mkuu.JF imechafuka haswa na vijana wa hovyo wanaodhani ni fb Pro max
Ndio Mkuu wangu.Kazi kweli kweli/Job True True!
Hatari Mkuu, huyu mwanamke leo namuitia polisi.Sasa shida tunaowajua ndio hawa kina mwajuma ndala ndefu