Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,889
Ana moyo wa chumaKibongo(walio wengi) bongo watauana. Ila mm nimeona mahali tena ni ndugu yamemtokea kama haya na zaidi maana ilikuwa kila akiishi na ndugu wa kike analiwa na mumewe...ila walaaaa hakubabaika na ndugu zake alichofanya mda ulipofika kila mtu alitawanyika kujitegemea na ndoa ipo mpaka Leo