Nimetokea kumpenda shemeji, nashindwa kujizuia

Kibongo(walio wengi) bongo watauana. Ila mm nimeona mahali tena ni ndugu yamemtokea kama haya na zaidi maana ilikuwa kila akiishi na ndugu wa kike analiwa na mumewe...ila walaaaa hakubabaika na ndugu zake alichofanya mda ulipofika kila mtu alitawanyika kujitegemea na ndoa ipo mpaka Leo
Ana moyo wa chuma
 
Kwa hyo zawad yangu lini mkuu? Halafu naskia una kampuni ya urithi...basi nipatie deiwaka hata ya uadimini
Ukiona nakuchek pm zawad imekamilika kuwa tu mvumilivu si wajua mamb ya sapla iziii hayo

Kwenye kampun ngoja tukae kikao cha ukoo si wajua tena vya urith
Washahil wanakamsemo kao" vya kuazima sijui nini" si jui
 
Kibongo(walio wengi) bongo watauana. Ila mm nimeona mahali tena ni ndugu yamemtokea kama haya na zaidi maana ilikuwa kila akiishi na ndugu wa kike analiwa na mumewe...ila walaaaa hakubabaika na ndugu zake alichofanya mda ulipofika kila mtu alitawanyika kujitegemea na ndoa ipo mpaka Leo
 
Kuna wanaume wengine ka mishoga! Halafa kajitu kanasema kana vikampuni na magari ya urithi.

Wanaume wenzangu, usione umepata pata vishilingi kidogo ukaona uoe tu, kuoa ni ishara mojawapo ya kukomaa kiakili sio kujua ukirudi nyumbani utakuta umepikiwa nguo ziko safi nyumba iko safi na utajitombea muda wowote unaotaka.

Na nyie wanawake, sio kila mwanaume unaemuona anakupeleka out na shopping basi afaa kuwa mumeo na baba wa familia, wengine ni wakojoa kwa kusimama tu.
 
Dah vp jamii na ndugu watanionaje mimi?
Unawaza "jamii" na "ndugu" watakuonaje? Unawaogopa sana hao kuliko MUNGU?

Hivi ulishawahi kuwaza ikiwa ukilala na shemeji yako MUNGU atakuonaje? Au wewe huna "hofu" ya MUNGU bali una hofu na wanadamu wenzako?

Ndugu, ikimbie zinaa.
 
Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.

Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.

Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.

Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.

Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.

Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.

Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
mshezi kweli kumbe jibu unalo
 
Hata mimi kijana wa 92 sijawahi kufikiria huo ujinga dah mkuu wewe ni TAIRA kama anthony taylor yule refa mpuuzi aliemlima james umeme.
 
Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.

Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.

Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.

Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.

Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.

Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.

Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Acha tamaa za kipumbavu. Je kama mdogo wako atampenda mke wako utajisikiaje? Kama unatoka kwenye makabila ambayo yana tabia za kipanya panya na kurukiana bila mipaka, utasikia ushauri wa kipumbavu kuwa we kata tu wakati matokeo yake utawaumiza mkeo na watoto na wewe mwenyewe. Tamaa mbele mauti nyuma.
 
Kuna wanaume wengine ka mishoga! Halafa kajitu kanasema kana vikampuni na magari ya urithi.

Wanaume wenzangu, usione umepata pata vishilingi kidogo ukaona uoe tu, kuoa ni ishara mojawapo ya kukomaa kiakili sio kujua ukirudi nyumbani utakuta umepikiwa nguo ziko safi nyumba iko safi na utajitombea muda wowote unaotaka.

Na nyie wanawake, sio kila mwanaume unaemuona anakupeleka out na shopping basi afaa kuwa mumeo na baba wa familia, wengine ni wakojoa kwa kusimama tu.
kazi kweliii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom