Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,467
Muuza genge kaenda kulipwa pesa zake alizowekeza
Wakati mwingine unapenda hasa! Na pia mwanamke anajifunza kupenda hata akiwa ndani ya ndoa ndiyo maana wanawake wa zanani walikuwa wakichaguliwa wachumba.
Hili tatizo limesababishwa na wanaume wenyewe wengi ingawa wameoa lakini kama hawajaoa tu wana wanawake telee,mke akishajua upendo wote hupotea wanabakia kuishi tu kulea watoto..
Wanaume muelewe pesa haiwezi kununua upendo,pamoja na kuhudumia famila kila kitu kama unamvunja moyo mkeo hutaona raha ya hiyo pesa,utabakia kusema tu nampa kila kitu lakini wapi....
Ukiona mkeo amebadilika muulize shida iko wapi mama mbona umebadilika kwa upole tu utajibiwa!
Yaani unaandika upuuzi ule ule tu tangu kwenye comment yako ya kwanza, halafu unasema sijakuelewa kuna kipi cha kushundwa kuelewa hapa kwenye hizi bandiko zako? Si unazunguka pale pale tu eti mwanamke kuchepuka most likely chanzo ni mwanaume na blah... blah.Wewe ni mgumu kuelewa au unalazimisha tu mambo?
Ndoa nyingi za sasa hivi mgogoro mkubwa ni uchepukaji,na asilimia kubwa ni wanaume kuchepuka kwao ndiyo kunapelekea wake zao nao kuchepuka,siyo kila ndoa lazima iwe hivyo...
Huyu mleta mada aseme kama anamfahamu jamaa yake vizuri,je si mchepukaji? Maana unaweza kuta mleta mada anachoshangaa kuona mwanamke anapewa kila kitu mpaka biashara halafu anachepuka,ndiyo maana nikasema wanaume muelewe mapenzi siyo pesa! Siyo sababu mtu anakula,anavaa nk then urudi home saa6 na kuendelea ingia toka kila siku ....
Hivi kwanini mwanamke akichepuka mnaumia sana? Mnajiuliza kama hamuwezi kazi,hamtutoshelezi nk, mlishawahi kujiuliza nasi tunawaza nini mkichepuka ? Tunawaza hamtupendi upendo umeshaisha,ndiyo sababu umetafuta mbadala...mnaambiana mchepuke kwa akili mke asijue,mnajua akijua hakuna ndoa tena.....hata kama utasemehewa lakini upendo hakuna tena!
Tena mavi ya sokwe kabisa yasiofaa hata kutumika kama mbolea.umeongea mavi
Ni mavi totally tuuup! ngoja niteme mate kabisaUkweli unauma....
Ongea wewe hayo ambayo si mavi!
💨💨💨💨Ni mavi totally tuuup! ngoja niteme mate kabisa
vipi we umeoa, na kwanini jwe msuluhishi wao, na stori za eti wako barazani wakifanya yao we ulienda kufuata nn huko mida hiyo....... ni maswahi tu kikulacho ki nguoniHabari wana JamiiForums
Ni ukweli usiopingika kuwa toka nijiunge na jamii forum nimekuwa siyo mchangiaji mkubwa sana kwenye masuala mazima yanayohusu mahusiano hasa kwenye upande wetu wa akina dada.
Kiupande wangu siyo mpenzi sana wa kina dada lakini nilikuwa ni mtu mwenye ndoto ya kuja kuwa na familia bora.Busara zangu na muonekano na hata tabia vimenifanya niwe mwenye kutoa ushauri kwa watu wazima na hata vijana wenzangu,hali hiyo imenipelekea jirani yangu ambae ni 40 years now,kuwa rafiki yangu na hata mshauri wake mkuu.
Ni tokea mwaka 2016 alikuwa akisumbuliwa mno na ndoa yake naweza kudiriki kusema kuwa ni mimi ndio niliyekuwa sababu ya ndoa hiyo kuendelea kutokana na ushauri nlokuwa nampa ambao ulikuwa unafanya kazi lakini mwisho wa siku wanavurugana tena.Mke wa jamaa ni mfanyabiashara na jamaa ni mfanyakazi wa benki fulani hapa Dar hivyo mkewe amefunguliwa biashara zaidi ya 3 na pia wamefanikiwa kuzaa watoto 3.
Maisha yao naweza kusema ni mazuri sababu wana uhakika wa kula wananyumba nyingi tu hapa Dar na hata magari zaidi ya ma 4 ya kutembelea,nimekuwa nikisuluhisha ugomvi wao hasa sababu ya watoto walio nao na pia mali walizonazo kwani zinaweza kuleta uadui mkubwa.
Lengo la kuyaleta haya ni baada ya siku ya leo asubuhi kwenda kumtembelea ndugu yangu na kumkuta mkewe akiwa barazani uchi wa mnyama akifanya mapenzi na muuza genge wa hapa mtaani kwetu,Hakika nilijikuta tu ninatetemeka kwa hasira nilichokifanya ni kuwapiga picha na kuondoka zangu,hivi hapa nipo tu mjini kichwa kinanizunguka ameshanipigia simu zaidi ya 100 lakini sipokei nadhani nahitaji muda wa kufikiri ili nifanye uamuzi eitha ni mpe tu ukweli mmewe au ninyamanze
Swali langu kwa akina dada ni kitu gani kinawafanya siku hizi muwe mnachepuka kiasi hiki,wakati mnapewa kila kitu ndani ya ndoa hakika mmenifanya niichukie ndoa.
Ni kosa kubwa sana kwa mwanamke aliyeolewa kuchepuka, kwa jamii iliyostaharabika adhabu yake ni kifo.Lizarazu ni mgumu sana kuelewa...
Sitetei wachepukaji ila wengi wanachepuka kwa sababu hiyo, siyo kila mwanamke lazima achepuke sababu mume wake anachepuka!
Naona wewe ndiyo unatetea sasa uchepukaji kwa wanaume!
Siyo wewe uchepuke mwenzio akichepuka kosa! Kama huwezi kuheshimu ndoa yako kwa uchepukaji usioe full stop!
wachahe wanalielewa hiliNi kosa kubwa sana kwa mwanamke aliyeolewa kuchepuka, kwa jamii iliyostaharabika adhabu yake ni kifo.
acha na hao wanawake wa mitandaoni wenye akili za kushikiwaNi kosa kubwa sana kwa mwanamke aliyeolewa kuchepuka, kwa jamii iliyostaharabika adhabu yake ni kifo.
Mkuu mbona umekuwa mkali sana ndo wewe nini!umetukanwa wapi....we pumbafu sana...katafute kazi ya kufanya......mwanaume kamili hana tabia kama zako....eti na picha nimepiga..kapigie punyeto....iblisi wewe...wachana na ndoa za watu....
maana mpka mwenyewe nimebakia kuduwaaMkuu mbona umekuwa mkali sana ndo wewe nini!
no matter bro, but mwanaume hawezi fanya huu utumbo....ni kike kikeMkuu mbona umekuwa mkali sana ndo wewe nini!
acha stress mzee cool down then ndo uje u commentno matter bro, but mwanaume hawezi fanya huu utumbo....ni kike kike