Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Mnatusema sana hatuolewi.
Sasa unanisema siolewi halafu anatokea boya mmoja anaingia line nakubali tu tuoane ila moyoni simpendi wala nini.
Nyie wanaume mkipunguza kuona ndoa ni basic need itawapunguzia presha wanawake kukimbilia ndoa za kuwaonyesheni.
Wanawake wengi sana wanacheat siku hizi, ndoa zimepoteza thamani. Zamani tulikua tumezoea wanaume ndio wachepukaji ila imekua kinyume sasa hivi na ndio maana divorce rate imekua juu kwa sababu wanawake hatuheshimu tena ndoa.
Fanya research ndogo utakuta 60% ya ndoa za kileo ni mimba/mtoto. Watu hawaoani kwa sababu wanapendana ila kunakua na kaconnection kanakowalazimu waoane.
Kwa style hii ya wanawake kuolewa kupunguza masimango na wanaume kuoa ili mtoto akue na baba na mama NASEMA kwamba wanaume mtaendelea kupata wanawake mtakaogongewa na ndoa zenu zitaendelea kuvunjika kila leo.
Sasa unanisema siolewi halafu anatokea boya mmoja anaingia line nakubali tu tuoane ila moyoni simpendi wala nini.
Nyie wanaume mkipunguza kuona ndoa ni basic need itawapunguzia presha wanawake kukimbilia ndoa za kuwaonyesheni.
Wanawake wengi sana wanacheat siku hizi, ndoa zimepoteza thamani. Zamani tulikua tumezoea wanaume ndio wachepukaji ila imekua kinyume sasa hivi na ndio maana divorce rate imekua juu kwa sababu wanawake hatuheshimu tena ndoa.
Fanya research ndogo utakuta 60% ya ndoa za kileo ni mimba/mtoto. Watu hawaoani kwa sababu wanapendana ila kunakua na kaconnection kanakowalazimu waoane.
Kwa style hii ya wanawake kuolewa kupunguza masimango na wanaume kuoa ili mtoto akue na baba na mama NASEMA kwamba wanaume mtaendelea kupata wanawake mtakaogongewa na ndoa zenu zitaendelea kuvunjika kila leo.