Nimetokea kuchukia ndoa

Nimetokea kuchukia ndoa

Kwa hiyo kumbe mwanaume akichepuka na mwanamke naye anaenda kutiwa nje kama kulipa kisasi na mapenzi ana hamishia huko huko kwa mchepuko halafu na bado anaendelea kujiita mke wa mtu?

Aisee!! Kama ndio hivi acha tu vijana waendelee kuwatombaa na kuwaacha na sio kuwaoeni. Maana hamfai hata kidogo
Maana yangu ni kwamba,wengi wanaume ndiyo mnaoharibu ndoa! Wanawake wanachepuka kwa hasira na kulipa kisasi na wanahamisha mioyo yao kwa michepuko ndiyo hapo ndoa inakuwa ipo ipo tu...

Hao wanawake wachepukaji hao ni malaya ukikosea kuoa utajuta lakini ukipata mwanamke sahihi hata uchepuke anaweza asichepuke na yeye...

Kuhusu mimi,hata wewe ungenioa usingejutia....
 
Hivi kweli mtu uvue nguo zote mchana kweupee ukifanya mapenzi nje kibarazani tena bila kuchukua tahadhari ya kufunga geti. Huyo dada ana matatizo ya akili au hii story ni ya uongo.
 
Kwa hiyo kumbe mwanaume akichepuka na mwanamke naye anaenda kutiwa nje kama kulipa kisasi na mapenzi ana hamishia huko huko kwa mchepuko halafu na bado anaendelea kujiita mke wa mtu?

Aisee!! Kama ndio hivi acha tu vijana waendelee kuwatombaa na kuwaacha na sio kuwaoeni. Maana hamfai hata kidogo
Wewe ni mgumu kuelewa au unalazimisha tu mambo?

Ndoa nyingi za sasa hivi mgogoro mkubwa ni uchepukaji,na asilimia kubwa ni wanaume kuchepuka kwao ndiyo kunapelekea wake zao nao kuchepuka,siyo kila ndoa lazima iwe hivyo...

Huyu mleta mada aseme kama anamfahamu jamaa yake vizuri,je si mchepukaji? Maana unaweza kuta mleta mada anachoshangaa kuona mwanamke anapewa kila kitu mpaka biashara halafu anachepuka,ndiyo maana nikasema wanaume muelewe mapenzi siyo pesa! Siyo sababu mtu anakula,anavaa nk then urudi home saa6 na kuendelea ingia toka kila siku ....

Hivi kwanini mwanamke akichepuka mnaumia sana? Mnajiuliza kama hamuwezi kazi,hamtutoshelezi nk, mlishawahi kujiuliza nasi tunawaza nini mkichepuka ? Tunawaza hamtupendi upendo umeshaisha,ndiyo sababu umetafuta mbadala...mnaambiana mchepuke kwa akili mke asijue,mnajua akijua hakuna ndoa tena.....hata kama utasemehewa lakini upendo hakuna tena!
 
Maana yangu ni kwamba,wengi wanaume ndiyo mnaoharibu ndoa! Wanawake wanachepuka kwa hasira na kulipa kisasi na wanahamisha mioyo yao kwa michepuko ndiyo hapo ndoa inakuwa ipo ipo tu...
Hao wanawake wachepukaji hao ni malaya ukikosea kuoa utajuta lakini ukipata mwanamke sahihi hata uchepuke anaweza asichepuke na yeye...
Kuhusu mimi,hata wewe ungenioa usingejutia....
Nyie wanawake huwa hamkosi sababu. Akichepuka mwanaume ni kwasababu ya umalaya wake ila akichepuka mwanamke ni kwasababu ya mwanaume. Kuna wanaume hawachepuki ila wanawake wanachepuka. Nao utawaweka kundi gani? Utasema mumewe hamridhishi kitandani. Je, na mwanaume anayechepuka na mkewe hachepuki naye utamuweka kundi gani? Najua hautasema mkewe hamridhishi kitandani utasema ni umalaya mwanaume.
Itafika mahala, tutataka ndoa za mikataba au unapiga mimba unalea mtoto, ukihitaji mtoto unapiga mimba unalea mtoto.
NDO IHESHIMIWE. KAMA UNACHEPUKA USIOE AU KUOLEWA ILI UCHEPUKE VIZURI. VINGINEVYO LAZIMA NDOA IVUNJIKE TU HAKUNA NAMNA
 
Huyo rafiki yako ambae umekuwa ukimshauri ndio umemkuta mke analiwa uroda barazani? Bado sijaelewa yani
 
Nyie wanawake huwa hamkosi sababu. Akichepuka mwanaume ni kwasababu ya umalaya wake ila akichepuka mwanamke ni kwasababu ya mwanaume. Kuna wanaume hawachepuki ila wanawake wanachepuka. Nao utawaweka kundi gani? Utasema mumewe hamridhishi kitandani. Je, na mwanaume anayechepuka na mkewe hachepuki naye utamuweka kundi gani? Najua hautasema mkewe hamridhishi kitandani utasema ni umalaya mwanaume.
Itafika mahala, tutataka ndoa za mikataba au unapiga mimba unalea mtoto, ukihitaji mtoto unapiga mimba unalea mtoto.
Hujui kama kuna wanawake hawachepuki? Nao wafanyaje?
Mwanamke hata asiporidhishwa kitandani kama anakupenda hawezi kuchepuka atakuvumilia...

Hii sababu ya kutoridhishwa nimeitolea kama sababu inayowafanya muumie sana mkeo akichepuka inakupa mawazo kwanini amechepuka ina maana mimi ni hivi au vile...! Sijui umenielewa kwanini nilisema hivyo?
 
Hivi kweli mtu uvue nguo zote mchana kweupee ukifanya mapenzi nje kibarazani tena bila kuchukua tahadhari ya kufunga geti. Huyo dada ana matatizo ya akili au hii story ni ya uongo.
nimesema barazani na siyo kibarazani(barazani nikimaanisha seblen)
 
Usioneshe hofu yoyote. Nenda ukapate chakula na usiseme neno lolote ila hizo picha usizifute baki kama ushahidi maana huko mbeleni mwanamke atakulazimisha muizime hii issue na akikuona haueleweki atamwambia mumewe kuwa wewe unamtaka kimapenzi na hapo ugomvi lazima uibuke kati yako na jamaa.
dah nmekuelewa sana mkuu
 
Yaani kwa uzi huu, mleta mada nae alikua anamendea mzigo ndio maana kachanganyikiwa hivi,
1) alikuwa mshauri wa hiyo ndoa muda mrefu.
2) alienda nyumbani kwa jamaa bila taarifa.
3) hakutegemea kwamba shemeji ana gegeduliwa na mtu mwingine.
4) kitendo chake cha kupiga picha.
Ushauri: nawe omba mzigo maisha yaendelee.
 
Habari wana JamiiForums

Ni ukweli usiopingika kuwa toka nijiunge na jamii forum nimekuwa siyo mchangiaji mkubwa sana kwenye masuala mazima yanayohusu mahusiano hasa kwenye upande wetu wa akina dada.

Kiupande wangu siyo mpenzi sana wa kina dada lakini nilikuwa ni mtu mwenye ndoto ya kuja kuwa na familia bora.Busara zangu na muonekano na hata tabia vimenifanya niwe mwenye kutoa ushauri kwa watu wazima na hata vijana wenzangu,hali hiyo imenipelekea jirani yangu ambae ni 40 years now,kuwa rafiki yangu na hata mshauri wake mkuu.

Ni tokea mwaka 2016 alikuwa akisumbuliwa mno na ndoa yake naweza kudiriki kusema kuwa ni mimi ndio niliyekuwa sababu ya ndoa hiyo kuendelea kutokana na ushauri nlokuwa nampa ambao ulikuwa unafanya kazi lakini mwisho wa siku wanavurugana tena.Mke wa jamaa ni mfanyabiashara na jamaa ni mfanyakazi wa benki fulani hapa Dar hivyo mkewe amefunguliwa biashara zaidi ya 3 na pia wamefanikiwa kuzaa watoto 3.

Maisha yao naweza kusema ni mazuri sababu wana uhakika wa kula wananyumba nyingi tu hapa Dar na hata magari zaidi ya ma 4 ya kutembelea,nimekuwa nikisuluhisha ugomvi wao hasa sababu ya watoto walio nao na pia mali walizonazo kwani zinaweza kuleta uadui mkubwa.

Lengo la kuyaleta haya ni baada ya siku ya leo asubuhi kwenda kumtembelea ndugu yangu na kumkuta mkewe akiwa barazani uchi wa mnyama akifanya mapenzi na muuza genge wa hapa mtaani kwetu,Hakika nilijikuta tu ninatetemeka kwa hasira nilichokifanya ni kuwapiga picha na kuondoka zangu,hivi hapa nipo tu mjini kichwa kinanizunguka ameshanipigia simu zaidi ya 100 lakini sipokei nadhani nahitaji muda wa kufikiri ili nifanye uamuzi eitha ni mpe tu ukweli mmewe au ninyamanze

Swali langu kwa akina dada ni kitu gani kinawafanya siku hizi muwe mnachepuka kiasi hiki,wakati mnapewa kila kitu ndani ya ndoa hakika mmenifanya niichukie ndoa.
Una hakika anapewa kila kitu?.
 
Kwahiyo unavutiea na wanaume wenzio?

Akina confession,xteper,ray sijui nini walishajiweka wazi. Haitokuwa mbaya ukifuata nyayo zao. Kila la kheri.
 
Eti "unapewa kila kitu"
Mungu mwenyewe hakupi kila kitu, who are you uweze kumpa kila kitu binadamu mwenzio
 
Wewe ni mgumu kuelewa au unalazimisha tu mambo?

Ndoa nyingi za sasa hivi mgogoro mkubwa ni uchepukaji,na asilimia kubwa ni wanaume kuchepuka kwao ndiyo kunapelekea wake zao nao kuchepuka,siyo kila ndoa lazima iwe hivyo...

Huyu mleta mada aseme kama anamfahamu jamaa yake vizuri,je si mchepukaji? Maana unaweza kuta mleta mada anachoshangaa kuona mwanamke anapewa kila kitu mpaka biashara halafu anachepuka,ndiyo maana nikasema wanaume muelewe mapenzi siyo pesa! Siyo sababu mtu anakula,anavaa nk then urudi home saa6 na kuendelea ingia toka kila siku ....

Hivi kwanini mwanamke akichepuka mnaumia sana? Mnajiuliza kama hamuwezi kazi,hamtutoshelezi nk, mlishawahi kujiuliza nasi tunawaza nini mkichepuka ? Tunawaza hamtupendi upendo umeshaisha,ndiyo sababu umetafuta mbadala...mnaambiana mchepuke kwa akili mke asijue,mnajua akijua hakuna ndoa tena.....hata kama utasemehewa lakini upendo hakuna tena!
umeongea mavi
 
kama umeoa,ndoa imekushinda basi jaribu kuolewa,huwezi mtu ukakosa vyote
 
Back
Top Bottom