jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,830
- 10,089
Habari wana JamiiForums
Ni ukweli usiopingika kuwa toka nijiunge na jamii forum nimekuwa siyo mchangiaji mkubwa sana kwenye masuala mazima yanayohusu mahusiano hasa kwenye upande wetu wa akina dada.
Kiupande wangu siyo mpenzi sana wa kina dada lakini nilikuwa ni mtu mwenye ndoto ya kuja kuwa na familia bora.Busara zangu na muonekano na hata tabia vimenifanya niwe mwenye kutoa ushauri kwa watu wazima na hata vijana wenzangu,hali hiyo imenipelekea jirani yangu ambae sa hivi ana miaka 40,kuwa rafiki yangu na hata mshauri wake mkuu.
Ni tokea mwaka 2016 alikuwa akisumbuliwa mno na ndoa yake naweza kudiriki kusema kuwa ni mimi ndio niliyekuwa sababu ya ndoa hiyo kuendelea kutokana na ushauri nililkuwa nampa ambao ulikuwa unafanya kazi lakini mwisho wa siku wanavurugana tena.Mke wa jamaa ni mfanyabiashara na jamaa ni mfanyakazi wa benki fulani hapa Dar hivyo mkewe amefunguliwa biashara zaidi ya 3 na pia wamefanikiwa kuzaa watoto 3.
Maisha yao naweza kusema ni mazuri sababu wana uhakika wa kula wananyumba nyingi tu hapa Dar na hata magari zaidi ya ma 4 ya kutembelea,nimekuwa nikisuluhisha ugomvi wao hasa sababu ya watoto walio nao na pia mali walizonazo kwani zinaweza kuleta uadui mkubwa.
Lengo la kuyaleta haya ni baada ya siku ya leo asubuhi kwenda kumtembelea ndugu yangu na kumkuta mkewe akiwa barazani uchi wa mnyama akifanya mapenzi na muuza genge wa hapa mtaani kwetu,Hakika nilijikuta tu ninatetemeka kwa hasira nilichokifanya ni kuwapiga picha na kuondoka zangu,hivi hapa nipo tu mjini kichwa kinanizunguka ameshanipigia simu zaidi ya 100 lakini sipokei nadhani nahitaji muda wa kufikiri ili nifanye uamuzi eitha ni mpe tu ukweli mmewe au ninyamanze
Swali langu kwa akina dada ni kitu gani kinawafanya siku hizi muwe mnachepuka kiasi hiki,wakati mnapewa kila kitu ndani ya ndoa hakika mmenifanya niichukie ndoa.
Ni ukweli usiopingika kuwa toka nijiunge na jamii forum nimekuwa siyo mchangiaji mkubwa sana kwenye masuala mazima yanayohusu mahusiano hasa kwenye upande wetu wa akina dada.
Kiupande wangu siyo mpenzi sana wa kina dada lakini nilikuwa ni mtu mwenye ndoto ya kuja kuwa na familia bora.Busara zangu na muonekano na hata tabia vimenifanya niwe mwenye kutoa ushauri kwa watu wazima na hata vijana wenzangu,hali hiyo imenipelekea jirani yangu ambae sa hivi ana miaka 40,kuwa rafiki yangu na hata mshauri wake mkuu.
Ni tokea mwaka 2016 alikuwa akisumbuliwa mno na ndoa yake naweza kudiriki kusema kuwa ni mimi ndio niliyekuwa sababu ya ndoa hiyo kuendelea kutokana na ushauri nililkuwa nampa ambao ulikuwa unafanya kazi lakini mwisho wa siku wanavurugana tena.Mke wa jamaa ni mfanyabiashara na jamaa ni mfanyakazi wa benki fulani hapa Dar hivyo mkewe amefunguliwa biashara zaidi ya 3 na pia wamefanikiwa kuzaa watoto 3.
Maisha yao naweza kusema ni mazuri sababu wana uhakika wa kula wananyumba nyingi tu hapa Dar na hata magari zaidi ya ma 4 ya kutembelea,nimekuwa nikisuluhisha ugomvi wao hasa sababu ya watoto walio nao na pia mali walizonazo kwani zinaweza kuleta uadui mkubwa.
Lengo la kuyaleta haya ni baada ya siku ya leo asubuhi kwenda kumtembelea ndugu yangu na kumkuta mkewe akiwa barazani uchi wa mnyama akifanya mapenzi na muuza genge wa hapa mtaani kwetu,Hakika nilijikuta tu ninatetemeka kwa hasira nilichokifanya ni kuwapiga picha na kuondoka zangu,hivi hapa nipo tu mjini kichwa kinanizunguka ameshanipigia simu zaidi ya 100 lakini sipokei nadhani nahitaji muda wa kufikiri ili nifanye uamuzi eitha ni mpe tu ukweli mmewe au ninyamanze
Swali langu kwa akina dada ni kitu gani kinawafanya siku hizi muwe mnachepuka kiasi hiki,wakati mnapewa kila kitu ndani ya ndoa hakika mmenifanya niichukie ndoa.


