IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,166
- 3,816
Nimetoka Rwanda leo, nimerudi Tanzania, jamani Rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aisee, nilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe. Nile bata huko, huku Tanzania hamna wadada wowote.
Lazima nikaoe Rwanda asee wale wadada wana kila kitu, shape, sura tabia dah lazima nioe kule, kumbe huku hamna kitu.
Lazima nikaoe Rwanda asee wale wadada wana kila kitu, shape, sura tabia dah lazima nioe kule, kumbe huku hamna kitu.