Pombe muhimu acha ubwegeMirungi huaribu sana nguvu za uume, wakati mwingine ktk hii dunia si kila kitu ni cha faida na chakuigwa.
Ona sasa Mke mwema kabisa anakosa Mume sahihi na kuachwa njia panda.
Mungu ni mwema sana kuniepusha na ulevi wowote wa sigara, bangi, kokein, shisha, pombe, pornography na uzinzi wa Wanawake na hata hii mitandao ya kijamii.
PoleHalafu nguvu zinapungua tu hata bila mirungi wala kilevi mbona mi situmii kilevi chochote na sina nguvu za kiume
Veve tatizo lake kubwa ni gharama tu. Yenyewe inauzwa bei ghali na pia inahitaji machanjio. Yani ukishanunua hujamaliza kuna vitu vingine lazima ununue ili vikuwezeshe kuchanja.Kuna rafiki yangu aliolewa na msomali tabia ni Kama za huyo dogo
Wametengana kwa shari sana mwaka jana
Kumbe veve haifai aisee
Dah nimekumbuka mbali sana kuna gomba inaitwa mogoka ukila ile hata ufanyeje mashine dolo.Sema veve ukiizoea ina addiction aseee ukifika ule mda wake unapata arosto mbaya mbovu.
Mkuu nyie ni Warangi? Maana hao watu wanapenda sana kuchanja veve/miraa/mirungi/gomba.
Afu we mama,heri ya mwaka mpya.Mwanaume akikosa nguvu za kiume anajidai ana wivu sana
Dah dunia inaenda kasi balaa,ss wanaume wenye 50+ndo kama tunaanza balehe..Dogo hana nguvu za kiume.
Hahaha ni noma hiyo yenyewe inaweka kwenye vifriji yenyewe ni majani tu haina vijiti. Nilishaila sana Arusha tunaita mkokaa.Dah nimekumbuka mbali sana kuna gomba inaitwa mogoka ukila ile hata ufanyeje mashine dolo.
Ae mmaka wane mrijo chini chemba no kai kikomiKayii sehem che nuje tusane munduuu
Ukatenga unguto O dokaa no meto
TumeaibikaAlijua kuoa ni kuja kupikiwa tu, akasahau kuwa akishiba anatakiwa apige show ya kibabe sio kulala kama nyau aliyeshiba maziwa
Pole ila dogo kazinguaTumeaibika
hakuna hosptikali ya mateja ni sober apelekwe pia acha dharau jina teja suo zuri sema waraibu ! endelea kuita mateja mpk siku mtu wakaribu akitumbikia huko ndo utajuaMmeondoka bila kutatua tatizo lililowaleta! Mlitakiwa dogo mumpeleke hospitali ya serikali kwenye tiba ya mateja.
Pia kaka ungebaki nyumbani pao kumhamasisha dogo arudishe hamu asikiapo chaga za kitanda zikilia ukimgegeda shemeji yako, tiba hii ingemponya haraka sana kuliko maombezi.
Pale kondoa,maeneo ya kwadelo ni hatari, ambaye hali anaonekana fala sanaHii kitu kwa sisi wakaayi ni culture View attachment 2087989
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuna wamachame hao kwa veve ni shidaaaaaSema veve ukiizoea ina addiction aseee ukifika ule mda wake unapata arosto mbaya mbovu.
Mkuu nyie ni Warangi? Maana hao watu wanapenda sana kuchanja veve/miraa/mirungi/gomba.
Hivi kutafuna mirungi kuna faida gani, maana unakuta jitu limejaza majani mdomoni kama mbuzi
Nguvu nguvu nguvu.