Nimetoa chozi kwa uonevu huu!!

MissM4C

JF-Expert Member
Aug 31, 2012
1,740
1,005
Imetokea Mpanda Juzi.

Nikiwa katika majukumu yangu nikataka kujua nini kilimpata huyu mama aliyeletwa huku ajitambui, paja limekatika vipande vitatu na damu zikimwagika.

MAMA- "kuna MTU alikuwa amekatwa katwa mapanga pale kijijini kwetu usiku, BAADA ya SIKU 3 polisi walianza msako wa waauaji.. Kaya kwa kaya...

Siku moja siki ya tukio hili lililonikuta mimi, nilikuwa KWANGU nimelala na wanangu watatu, mmoja mdogo wa miezi mitatu... Mme wangu alikuwa mbugani amekambika katika zoezi LA uvunaji mpunga... Hivyo nilikuwa peke yangu.

Usiku wa saa7 nikasikia mlango unagongwa na mwanga wa tochi zimezingira nyumba, mshindo wa watu wengi ukasikika ukiniamurisha " FUNGUA NA UBAKI KAMA ULIVYO" Nikaogopa sana nikaanza kutetemeka, nikihisi ni majambazi au wauaji maana zoezi LA MTU kuuliwa kwa mapanga ni kawaida mpanda...

Nikasema nikifungua nitakufa, nikakusanya wanangu nna mdogo nikambeba mgongoni KISHA nikataka nikimbie kupitia mlango wa nyuma, nahisi walisikia nikitembea wakajua natoroka, ndipo waliporisha risasi, nikasikia paja langu LA kulia kama limemwagiwa maji ya moto na nikaanza kujiburuza kwa mguu mmoja damu zkamwagika na nikaishiwa nguvu.

Ndipo walipofungua mlango na kunikuta Niko chini na mwanangu mgongoni.

Mmoja kati yao akasema "MISITEKI" Kumbe mwanamke? Tumekosea, Bahati mabaya."

Wakakimbia wote kwenda kwa wenzao kijijini kingine KISHA BAADA ya mda mfupi wakarejea na gari wakanitia ndani ya gari wakanipeleka Hospital ya mpanda ambapo walishindwa kunitibu na kunituma hospitali ya rufaa mmoja hapa nchini

Ndg zangi walifatlia madai ya kesi polisi ila polisi waliohusika walikimbia wote.

Wakaambiwa hiyo ilikuwa Bahati mbaya na hutokea, ajali kazini nendeni mkakazanie matibabu nasi tufatilie waliohusika taratibu.

Kesi ikaaisha.

Sasa Niko hospitali sijiwezi, mguu unahatari ya kukatwa wote Nisaidieni waandishi kumwambia magufuli hili swala langu"

Mwisho wa nukuu.
 
Pole sana mama!!!! Wenda waliiona id yenye M4C!!! BTW kunao wengine wamebambikiziwa kesi na wako jela miaka na miaka!!!!
 
Imetokea Mpanda Juzi.

Nikiwa katika majukumu yangu nikataka kujua nini kilimpata huyu mama aliyeletwa huku ajitambui, paja limekatika vipande vitatu na damu zikimwagika.

MAMA- "kuna MTU alikuwa amekatwa katwa mapanga pale kijijini kwetu usiku, BAADA ya SIKU 3 polisi walianza msako wa waauaji.. Kaya kwa kaya...

Siku moja siki ya tukio hili lililonikuta mimi, nilikuwa KWANGU nimelala na wanangu watatu, mmoja mdogo wa miezi mitatu... Mme wangu alikuwa mbugani amekambika katika zoezi LA uvunaji mpunga... Hivyo nilikuwa peke yangu.

Usiku wa saa7 nikasikia mlango unagongwa na mwanga wa tochi zimezingira nyumba, mshindo wa watu wengi ukasikika ukiniamurisha " FUNGUA NA UBAKI KAMA ULIVYO" Nikaogopa sana nikaanza kutetemeka, nikihisi ni majambazi au wauaji maana zoezi LA MTU kuuliwa kwa mapanga ni kawaida mpanda...

Nikasema nikifungua nitakufa, nikakusanya wanangu nna mdogo nikambeba mgongoni KISHA nikataka nikimbie kupitia mlango wa nyuma, nahisi walisikia nikitembea wakajua natoroka, ndipo waliporisha risasi, nikasikia paja langu LA kulia kama limemwagiwa maji ya moto na nikaanza kujiburuza kwa mguu mmoja damu zkamwagika na nikaishiwa nguvu.

Ndipo walipofungua mlango na kunikuta Niko chini na mwanangu mgongoni.

Mmoja kati yao akasema "MISITEKI" Kumbe mwanamke? Tumekosea, Bahati mabaya."

Wakakimbia wote kwenda kwa wenzao kijijini kingine KISHA BAADA ya mda mfupi wakarejea na gari wakanitia ndani ya gari wakanipeleka Hospital ya mpanda ambapo walishindwa kunitibu na kunituma hospitali ya rufaa mmoja hapa nchini

Ndg zangi walifatlia madai ya kesi polisi ila polisi waliohusika walikimbia wote.

Wakaambiwa hiyo ilikuwa Bahati mbaya na hutokea, ajali kazini nendeni mkakazanie matibabu nasi tufatilie waliohusika taratibu.

Kesi ikaaisha.

Sasa Niko hospitali sijiwezi, mguu unahatari ya kukatwa wote Nisaidieni waandishi kumwambia magufuli hili swala langu"

Mwisho wa nukuu.

Duh pole sana
 
Watu wa imani za kimungu huwa wanasema kila linalokukuta
kwa namna moja au ingine umechangia likukute

Umemuonea huruma huyo mama....inawezekana kweli kaonewa
au inawezekana pia ni 'karma'....labda na yeye amewahi kumuonea mtu mnyonge huko zamani

labda kudhulumu yatima na kadhalika....

ndo maaana tunahubiriwa kuishi na hofu ya mungu 24/7
yasije kuturudia hata by accident tunayoyafanya kwa wengine

na hapo sisemi kuwa huyo mama alistahili au moja kwa moja ana dhambi kubwa aliifanya zamani
nakupa tu 'mahubiri ya kiimani'
 
Tanzania sehemu inayoitajika watu wenye kutumia akili ktk maamuzi yao na utendaji kazi wao cc tunaweka watu walio fail form four hv kweli kulifanyika uchunguzi wa kutosha kabla ya kuivamia hyo nyumba ???? kingine cdhani kama Leo police wa Tanzania wamefikia hatua ya kupiga risasi hata mlango haujafunguliwa risasi hutumika kama kulikuwa na hari ya kutishia uhai wa hao police je kulikuwa na hali hyo? ?? nadhani wamelewa na kuitwa jeshi ni Tanzania pekee police linaitwa jeshi cjuh hawajui maana ya army na force
 
Watu wa imani za kimungu huwa wanasema kila linalokukuta
kwa namna moja au ingine umechangia likukute

Umemuonea huruma huyo mama....inawezekana kweli kaonewa
au inawezekana pia ni 'karma'....labda na yeye amewahi kumuonea mtu mnyonge huko zamani

labda kudhulumu yatima na kadhalika....

ndo maaana tunahubiriwa kuishi na hofu ya mungu 24/7
yasije kuturudia hata by accident tunayoyafanya kwa wengine

na hapo sisemi kuwa huyo mama alistahili au moja kwa moja ana dhambi kubwa aliifanya zamani
nakupa tu 'mahubiri ya kiimani'
unavuta bange wewe sio bure
 
Kwanin unaandika kimafumbo wakat ushaumia sema kama siyo wewe kuna MTU anakutumia ,Rais n mkwel na muwaz Wa awamu hii kwanin unasita sita funguka usaidiwe usituchoshe Kwa story ambayo inaonyesha the victim was not you but you are trying to send the text
 
Polisi wanapogonga mlango wa mtu huwa wanajitambulisha kuwa wao ni polisi, wanatokea kituo fulani, wako na shida na mtu fulani.... Hiyo incident sijui ilikuwaje though I smell some fabrication on the story
 
Haya "rais wa malaika mbinguni" do the needful huo ndio utendaji wa wanaojiita wana intelijensia na weledi uliyotukuka katika kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom