Nimetoa boko wakuu

Ila Hazard una ufala mwingi sana mshkaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inabidi nije piem, nikikuvusha kwa Mark nitajua nimewin tayari, haya ni maneno ya Hazard[emoji23][emoji23]
 
Maty 5:27-28
Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…