Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,160
Lakini hii ni forum ambayo siku zote inajinadi kwa kauli mbiu ya where we dare to talk openly.......Mhmh ni kweli tupu alichokisema mleta Ila ni bahati Kama mpaka Sasa hajala ban,manake hawa moderetor nahisi ni wazee Wa suti nyeusi ukiandika uzi wenye mrengo Wa kushoto na baba j unakula ban ya laana
Sasa ni kwa vipi tena mtoa maoni openly ambaye hajatukana wala kutoa kashfa awe banned?
Tukumbuke pia hata Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18 inasema kuwa kila mwananchi ana uhuru wa kutoa maoni yake....