TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
- Thread starter
- #81
Yaani CCM watu na Vijana wanaohudhuria mikutano na maandamano ya Upinzani, Mnawatukana Kiasi hiki kuwa "wanaandamishwa" kwani kwenu mnaona ni Vizuu na Misukule na hawana akili wala Utshi. Na Mbaya zaidi Mnawaita Watoto. Dharau iliyoje? Kauli ya Ajabu sana, Kutoka kwa Chama waliojaribu kutumia Polisi Kuwazuia Wananchi/wafanyakazi Uwanja wa Taifa ili wamsikilize Makonda, Pia wanaofunga shule za msingi na sekondari na kuwaswaga watoto wahudhurie mikutano yao ili kuijazia. Nakushauri unipe video ya Chadema yenye watoto wakiandamana, ukishidwa hizo propaganda zako za UNape kajichomekee kule kusikosemeka.Hizo hela za kufanyia maandamano ,nawashauri chagadema wajenge ofisi yenye hadhi ya chama kikuu cha upinzani nchini.
Hii tabia ya kuandamanisha watoto wa wenzenu na kuwashindisha juani ikome Mara moja. @ Nyumbu
Ninyi Wanafiki mngeweza kwenye mikutano yenu mngeweza kuleta vitoto ambavyo bado vinanyonya, mbwa, kuku na paka. Hata kampeni zenu Mkiacha mliowasomba kwa Malori, Wengi walikuja Kusikiliza wanamuziki ambao wengi hamjawalipa. Ndio Maana Mkaanyang'anya Computer na Kupora Ushindi, Ukiacha Mamilioni ya Kura Mlizozisupress..