Nimetembea na mama na binti yake

Nimetembea na mama na binti yake

habari ndugu,
daima husipende kusema vitu vya ajabu huoni hata aibu halafu unataka ushauriwe kwani wewe hujioni, kiukweli iwe unatudanganya au unasema kweli utajijua mwenyewe, maana azinie na mwanamke hana akiri ni vema ukawa mwaminifu ukaoa sio unatuletea upuuzi kama huu katikati ya wakubwa kama sisi.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
habari ndugu,
daima husipende kusema vitu vya ajabu huoni hata aibu halafu unataka ushauriwe kwani wewe hujioni, kiukweli iwe unatudanganya au unasema kweli utajijua mwenyewe, maana azinie na mwanamke hana akiri ni vema ukawa mwaminifu ukaoa sio unatuletea upuuzi kama huu katikati ya wakubwa kama sisi.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Huyu ---- anatembea na mke wa mwanaume mwenzie apo apo anamlia na mtt wake... af bado anakuja kuomba ushauri..... hajioni tu amekosa msimamo.. hajielewi
 
Kuna mtu alinuliza kuhusu picha, itakuwa sio jambo la busara kwa sababu wanaweza kuwa wapo hapa JF, lakini pia mimi mwenyewe nipo kwenye picha, kumbuka hamna hata mtu mmoja alieweka picha yake hapa Jf.

Wewe bwana mdogo huu unaoufanya ni ujinga wa kupindukia achana nao mara moja. Nashindwa kuelewa lengo lako la kufanya hivyo ni nini hasa? Hebu fikiria hilo ukilisikia kafanyiwa dada yako, shangazi au hata mama yako?? Wakati mwingine hebu tuwaze kwa a big picture na sio kuwaza mgegedo tu. Sasa ushauri wangu kwako hama kwa siri hapo unapopanga kisha badili namba zako za simu. Kabla ya hivyo mshirikishe mpenzi wako kwanza waweza kumwambia wanakusumbua ila usimwambie kwamba tayari umetembea nao wote hata yeye atakuona hayawani na kukuacha. Haya sasa kazi kwako.
 
we endelea kuwagegeda tu hata mtaa mzima kwani mwisho wa siku future yako will take care of itself...PERIOD!
 
Stori yako nzuri, ukiiuza kwa shigongo itainunua. JItahidi tu kuiwekea muendelezo sawia!
hasa hapo anaposema amepiga bao kumi 10, ni story ya kutunga. inachekesha pamoja na kwamba anajisifia uchafu wa shetani.
 
Huyu ---- anatembea na mke wa mwanaume mwenzie apo apo anamlia na mtt wake... af bado anakuja kuomba ushauri..... hajioni tu amekosa msimamo.. hajielewi

Chief imetokea bahati mbaya, na nipo njia panda katika kusawazisha mambo
 
we endelea kuwagegeda tu hata mtaa mzima kwani mwisho wa siku future yako will take care of itself...PERIOD!


Kila mtu anakosea hamna alie mkamilifu, hata hivo nahitaji namna ya kurudi kwenye mstari
 
Huyu ---- anatembea na mke wa mwanaume mwenzie apo apo anamlia na mtt wake... af bado anakuja kuomba ushauri..... hajioni tu amekosa msimamo.. hajielewi

Mkuu nimechanganyikiwa hafu ukizingatia hawafaham, huwa inaniumiza, ikijulikana itakuwaje pia nasolve vp na vitu kama hivo.
 
habari ndugu,
daima husipende kusema vitu vya ajabu huoni hata aibu halafu unataka ushauriwe kwani wewe hujioni, kiukweli iwe unatudanganya au unasema kweli utajijua mwenyewe, maana azinie na mwanamke hana akiri ni vema ukawa mwaminifu ukaoa sio unatuletea upuuzi kama huu katikati ya wakubwa kama sisi.:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Mkuu usifikiri nafurahia, naumia kila nikimuona 'binti mkubwa' au nikiongea na mpenz wangu yaan inaniumiza sana, mara ya kwanza niliona kawaida lakini siku zinavyoenda inanitesa.
 
Hii ni true stori, nimeamua kushare sehem ya experience yangu ya maisha kwenye upande wa mapenzi, nao hawa watu nipo nao kwenye mahusiano mpaka mda huu

Naona unaendelea kutoa msisitizo wa uongo wako.Hivi unadhan kupiga mama na mtoto wake tena majirani zako ni kazi ndogo??
 
Umeandika story vizuuuuri ila umesahau kipengele kimoja tu, hujatuambia jinsi mpenzi wako kule Mwanza anavyoshughulikiwa na wasukuma. Na sasa hivi ameshakusoma ndio kwaaanza atateleza kama hana akili nzuri vile.
 
Wana JF hii kitu inaniumiza hasa kuna maneno nikisoma humu ndani, najisikia vibaya. Nampenda 'binti mkubwa' nahofia siku akijua atanichukuliaje, nawaza sana kama ataendelea hata kuongea na mimi, au nitamwambia kitu gani anielewe. Kiukweli nikiwa naye nikimwangalia usoni naumia sana nalazimisha kuwa kawaida mpaka kuna mda ananiuliza nina tatizo gani, namwambia hamna. Hadi chozi huwa linanilenga naamua kuzuga tu.

Mpenzi wangu nampenda sana, tunaongea kila siku kwenye cm, na ananitafuta kuliko hata mimi ninavyomtafuta. hajawahi kunifanyia chochote kibaya cha kulinganishia, kwa ninavyomjua siku akifaham ndio itakuwa mwisho wetu. Yupo mbali lakini naweza kuhisi mapenz yake kwangu kila tukiongea naye. Yan naweza kuwa huku nilipo na nikasema kwa ujasiri kuwa nina mpenzi.

Kubadilisha line, haitasaidia namba zote zipo kichwani.

Nikipotea kwenye ramani zao, nahisi nitaandamwa na mawazo na maradhi ya mawazo. Nikiwaambia, naogopa kuwapoteza. Nlivyokaa kimya bila kusema kitu ndo mawazo ya itakuwaje yananiandama usiku na mchana. Nawaza kama kuna siku haya mawazo yataisha na mimi kuwa huru bila kuwapoteza watu muhim kwenye maisha yangu.
 
Mkuu pole sana, nilivyokusoma mwanzoni niliona kama kuna chembe za sifa kumbe unaumia mzee. Hayo mawazo ukiyaendekeza yatakuletea tatizo, mpige chini 'bi mkubwa' haraka iwezekanavyo. Halafu baki na hayo wawili uangalie yupi anafaa. Hama mtaa unaoishi, pia 'mblock' bi mkubwa kwenye cm yako.
 
Wana JF hii kitu inaniumiza hasa kuna maneno nikisoma humu ndani, najisikia vibaya. Nampenda 'binti mkubwa' nahofia siku akijua atanichukuliaje, nawaza sana kama ataendelea hata kuongea na mimi, au nitamwambia kitu gani anielewe. Kiukweli nikiwa naye nikimwangalia usoni naumia sana nalazimisha kuwa kawaida mpaka kuna mda ananiuliza nina tatizo gani, namwambia hamna. Hadi chozi huwa linanilenga naamua kuzuga tu.

Mpenzi wangu nampenda sana, tunaongea kila siku kwenye cm, na ananitafuta kuliko hata mimi ninavyomtafuta. hajawahi kunifanyia chochote kibaya cha kulinganishia, kwa ninavyomjua siku akifaham ndio itakuwa mwisho wetu. Yupo mbali lakini naweza kuhisi mapenz yake kwangu kila tukiongea naye. Yan naweza kuwa huku nilipo na nikasema kwa ujasiri kuwa nina mpenzi.

Kubadilisha line, haitasaidia namba zote zipo kichwani.

Nikipotea kwenye ramani zao, nahisi nitaandamwa na mawazo na maradhi ya mawazo. Nikiwaambia, naogopa kuwapoteza. Nlivyokaa kimya bila kusema kitu ndo mawazo ya itakuwaje yananiandama usiku na mchana. Nawaza kama kuna siku haya mawazo yataisha na mimi kuwa huru bila kuwapoteza watu muhim kwenye maisha yangu.


Mwanzoni nilivyokusoma niliona chembe za sifa hivi, kumbe unaumia mkuu, pole sana. Hayo mawazo ukiyachukulia poa yatakuletea matatizo. Mpige chini 'bi mkubwa' haraka iwezekanavyo. Hao wawili endelea kuwachunguza utambue nani nafaa. M-block 'bi mkubwa' kwenye simu yako. Hama mtaa, halafu usiwaze sana taratibu utarudi kwenye hali ya kawaida
 
Back
Top Bottom